Ardhi ya Tanzania inaendelea kupigwa mnada kwa spidi ya mwanga


Una ushahidi?
 
Juzi tulitandika mishale polisi na kutoa roho moja, hii iwe fundisho…. takwenya ole sinaleui.
Wasifikir wakileta ubabe wayakufa wamasai pekee hii ngoma nzito serikali inachukulia poa ila ngoja tuone
 
T
Toa ujinga wako hapa.
 
Fanya bidii uingie mzingani au sogelea mzinga
Akili yake imehifadhiwa ufipa store Hana mbinu za kuingia mzingani wala kuusogelea huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa nini maana ya kuuzwa kama alienunua kashindwa kuleta ulinzi wake

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu sio kupinga tu, serikali Ina Nia njema kabisa ngorongoro ikiachwa iendelee kuharibiwa na wamasai basi miaka michache mbele hatutakuwa na ngorongoro
Kwaiyo mwarabu yeye ndo hawezi kuiaribu!!??
 
Ni aibu sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…