Ardhi ya Tanzania inaendelea kupigwa mnada kwa spidi ya mwanga

Hivi hiyo OBC na hao waarabu wao wanaisaidia nini hii nchi? Wamewahi kuisaidia hii nchi nini?
 
Ni ufiche wapi wakati huu ndo muda muafaka wakupigania haki za wakristo. Sasa kwa kuwa umenikera nitakutafuta ili uniambie usoni ni jinsi gani ya kuficha ujinga wangu. Nisubiri nakuja
Eeeh yamekuwa ya ukristo tena!!
 
Ndicho kisa cha kuondolewa Lukuvi
 
You nailed it !! Aongelee humo bungeni ili tumsapoti !!!
 
Nani huyo Mwarabu?? Kama unazo taarifa sahihi tujulishe vizuri jina la kampuni lakini maneno tu matupu sio kweli...Ngombe nyingi mle ndani za wakenya kuna mkenya ana ngombe nyingi sana humo sasa serikali ikiwatoa kuna ubaya waende kwao wana ardhi yao.
 
Vizur kabisa ngorongoro na wamasai sio kichaka Cha wafugaji toka Kenya, na mafisadi wachache ndani ya nchi yetu kutuharibia hifadhi yetu, tutawang'oa wote awamu hii
 
Vizur kabisa ngorongoro na wamasai sio kichaka Cha wafugaji toka Kenya, na mafisadi wachache ndani ya nchi yetu kutuharibia hifadhi yetu, tutawang'oa wote awamu hii
Halafu wao wanapendelekewa yaani wanajengewa kabisaa bado wanajifanya vichwa ngumu, sisi ardhi inatwaliwa na hatupewi hata kiwanja ni fidia na kuchapa lapa.
 
Na nyie tafuteni nguvu,pesa,mipango
Mkamate ardhi hiyoooo

Ova
 
Wanateseka sana hao waibua hoja za kipuuzi za udini wa kiongozi akiwa muislam.
Na mama anaupiga mwingi Hana udini Wala ukabila anawahudumia watanzania wote kwa umoja wao
 
Halafu wao wanapendelekewa yaani wanajengewa kabisaa bado wanajifanya vichwa ngumu, sisi ardhi inatwaliwa na hatupewi hata kiwanja ni fidia na kuchapa lapa.
Tunatambua mchango wa wamasai katika hifadhi yetu kwa miaka mingi, lkn Sasa serikali kwa nia njema imeamua kubadili matumiz ya ardhi Kama sheria inavyoruhusu, ndio maana tunawajengea makazi Safi na salama zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…