Vipi kwa nini Messi na yeye asivizie hasa akiwa Argentina kama kuvizia ni rahisi
Anacho tayari ,world cup vijana na olympic wewe unataka nini ?Watu wanahesabia mafanikio pale unapobeba kitu an sio unapoishia kuifikisha timu sehemu ambazo hata timu nyingine imefika..kufika Kila wakat fainali na hauchukui ndio sababu hata ewew umetoka kuitukana juve huko post za nyuma.mess anatakiwa awe na Cha kujivunia kwenye national team sio magoli ambayo hata wakina Kane wanayo.
Vijana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Asubiri na ya wababu sasa Messi ana laliga pekeeeeAnacho tayari ,world cup vijana na olympic wewe unataka nini ?
Hapo juve amecheza msimu mmoja lakin unamlinganisha na alipocheza miaka 8.Angeipata team kama real then mngenieleza.
Halafu piga mfano Ronaldo angekuwa man United hadi sasa sijui ballon d,or angezipatia wapi.
Kinachofanya ulaya wanamweka messi kuwa ni bora kwasababu yeye ni mlishaji.
Ronaldo yeye husubilia vipikwe.
Kama naongopa embu chukulia mfano alivyokua Realmadrid.
Marcelo akitia jaro kaweeka kamba alikua akiitoa Bayern munich na Juventus atakavyo.
Kaja Juve sasaa!Hana viungo stahiki kama Realmadrid mpaka anatolewa na Ajax ambayo haina wachezaji current wazoefu wa UEFA.
Kwann hakupiga hatrik na kuivusha Juventus !?
Tatizo team combi aliokuwa nayo matatizo some how.
Kama anavyo kinachofanya analia uwanjani ni nn?... Trophy za utotoni ambazo hata KELVIN JOHN anazoAnacho tayari ,world cup vijana na olympic wewe unataka nini ?
Wewe umejibu mangapi?... nakuuliza kuhusu argentina we unajibu kuhusu juve...Unajua kwanini alikosa waweza nambia?!
Hujui unabwabwaja maswali yangu hujibu.
Nijibu kwann alikosa kupewa yeye hiyo tuzo.
Unaposema kuhusu tuzo ya mwaka jana Ronaldo angekosa ht bila ya modric kucheza world cup.
Nafikiri ww jamaa huangaliagi uchambuzi wa mpira unakurupuka tu.
Ronaldo mpk huko wenyewe walishaanza kumshuku mpaka wanamuita he is "just" a goal machine.
Embu itazame hiyo kauli.
Yani "just " goal machine.
Ndio kusema hawana viungo?.. mbona hatuoni akiwalisha AGUERO+HIGUAIN.. akina DI MARIA wapo au ni mabeki.Km yeye akivizia kuna kiungo gan atamlisha magoli?!
Maana Argentins yenyewe inamtegemea messi km play maker wao akivizia nan atakua play maker
Messi ni mzoefu wa kucheza copa amerika.. je anayo hata 1?Nimeamini ww hauna akili.
Unataka kusema wachezaji wa ajax wa sasa wana uzoefu kushinda wa juventus ?!
Embu kuwa mtu mZIMA WW acha utoto.
Uzoefu unaoangaliwa ni wa wachezaji.
Wale walioipatia Ajac uefa nne hawapo wapo wapya sasa.
Ingekuwa hvyo intermilan asingekuwa akitolewa group stage.
Mkuu umemaliza, achana nae huyo.Sasa huoni kuwa huyu alietoka huku kwingine Tena ambapo hakukuwa na hiyo kasumba akabeba ballon d or na akaja huko kwenye kasumba kabeba mara nying tu kuwa ni Bora!!?Kuna wakat huwa tunabisha ili tuonekane tunajua kuongea na kuandika bla bla bla ila kiuhalisia rekodi za Ronaldo zipo juu kiujumla kuanzia clubs/national team na ukitaka vigezo kwa hoja za kimsingi unapigwa chini mapema Sana ukimfananisha na messi...ila ushabiki na mafanikio ya kwenye club ndio kitu pekee kinambeba mess kwenye kuwafanya mashabiki wake wapate Cha kuongea.usiku mwema.
Kina di maria kina aguero kina otamendi c wachezaji wazuri portugal kuna mchezaji mwenye jina zaidi ya cr7? Cr7 yule jamaa ni mpambanaji aseOna ulivyo mgumu kuelewa aisee!!
Messi hana watu wazury wa kushirikiana naye ndio maana kila anapojitahidi ku cope with team team inamuangusha.
Au huelewi kiswahili mzee.
Ingekuwa yupo spain inamaana angekutana na watu wazury wa ku cope nao km Ronaldo alivyo Portugal labda nikujuze hapo.
Mfano mzury ni ile baba anajitahidi kulea vema watoto ila mama haoneshi ushirikiano mpk ina results watoto hawaongokewi km inavyotakikana.
Lakin sio km hawez malez baba hapana ila mshirika wake haoneshi ushirikiano ndio sawa kinachomkuta messi.
TAFAKARI ANDIKO KABLA HUJAKURUPUKA
Kashaipaisha hapooo....Sio yeye waulize waliokuwa wanacheza kumtegemea Messi badala ya kucheza team work
Siwez kubishana msukuma.Kashaipaisha hapooo....
Kanajilizaa..
Hapo kalitamani , ila kataishia kuliona tu , kama hivyo
Kina di maria kina aguero kina otamendi c wachezaji wazuri portugal kuna mchezaji mwenye jina zaidi ya cr7? Cr7 yule jamaa ni mpambanaji ase
Ndio kusema hawana viungo?.. mbona hatuoni akiwalisha AGUERO+HIGUAIN.. akina DI MARIA wapo au ni mabeki.
Maana ya kuibeba timu ni kutumia uwezo wako wote kama staa ili mfanikiwe sio kutuambia play maker wakati yeye ndie anaongoza magoli hapo argentina.. Je nani alikuwa anamlisha mipira?
Wewe umejibu mangapi?... nakuuliza kuhusu argentina we unajibu kuhusu juve...
Messi sio mchezaji wa kumsifia kafika robo au fainali ila vikombe hasa taifa lake.
We umekomaa magoli ambayo hata Lukaku anayo
Messi ni wa Barcelona tu huyu wa Argentina sijui ni yupi.
Hapo juve amecheza msimu mmoja lakin unamlinganisha na alipocheza miaka 8.
Vipi msimu akifanya unavyotaka.. Utakuja kusemaje? Na Messi mbona umsemi akacheze timu nyingine tumuone