Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Rinaldo Delima kashasema mchezaji bora of the tournaments ni MbapeLakini mpaka saizi mchezaji wenu kapigwa upper cut zakutosha
Kinachomfanya Mbappe asiwe gumzo ni kukosa promo
Naamini wakisema wa switch yani alivyovifanya Messi kwenye hii michuano viende kwa Mbappe na alivyovifanya Mbappe viende kwa Messi, hakuna namna ambayo Mbappe angejadiliwa katika mtazamo wa ubora zaidi ya ngekewa
Yeah hicho ndicho nilichomaanisha, kwamba cameroon walimkataa kwa kumpa masharti bila kuangalia ubora, wakati france walimchukua bureHakuomba kuchezea France. Sema ubora wake ulimfanya kuitwa kwenye team ya Taifa ya Ufaransa. Kule Cameroun aliomba wakamwambia baba yake atoe hela.
Nyie mmeumia kwa Messi kuendelea kubaki kwenye michuano wakati 'icon' wenu ametoka, hivyo akisifiwa humu mnaona kama anakuzwa...Sasa kama kafanya kwanin mnaleta ushamba wenu wakizamani akifanya kitu kidogo tu inakua kama ni kitu kipya kwake au mnazani tumesahau Ile mipenati aliyokua anakosa kweny Copa America had ikafika time akataka kustafu
Unaota wew. Tuzo ipi na kombe lipiNyie mmeumia kwa Messi kuendelea kubaki kwenye michuano wakati 'icon' wenu ametoka, hivyo akisifiwa humu mnaona kama anakuzwa...
Kuhusu yeye kukosa penalty nyingi sio hoja, muhimu ni Sasa kwamba yeye ndiye mchezaji bora wa hii michuano mpaka sasa.
Kuna tuzo nyingine inakuja na kombe la dunia juu.
Johnny Sack verifaidi yuza Its Pancho
Tushindwe kuumia kipindi hicho anafunga Goli Tano kweny mechi moja tuje Tumie kweny kipind ambacho ili afunge Goli lazima iwe penatiNyie mmeumia kwa Messi kuendelea kubaki kwenye michuano wakati 'icon' wenu ametoka, hivyo akisifiwa humu mnaona kama anakuzwa...
Kuhusu yeye kukosa penalty nyingi sio hoja, muhimu ni Sasa kwamba yeye ndiye mchezaji bora wa hii michuano mpaka sasa.
Kuna tuzo nyingine inakuja na kombe la dunia juu.
Johnny Sack verifaidi yuza Its Pancho
Tuzo ya mchezaji bora wa mashindano na kombe la mashindano makubwa ya soka duniani.Unaota wew. Tuzo ipi na kombe lipi
Kumbe Copa America ni mashindandano makubwa ya Dunia Asante Kwa kunifahamishaTuzo ya mchezaji bora wa mashindano na kombe la mashindano makubwa ya soka duniani.
Mkuu hata ukisema sisi wengine tunaangalia kupitia livescore sio dhambi, ishu ni kutumia livescore kama hoja ya kufifisha hoja ya mtu mwingine kwa kuweka taarifa zisizo za kweli.Mkuu tunasema kila siku hapa acheni kuangalia mpira lIVESCORE! Hatukatai Mbappe kafanya vizur hii World cup!.Ila unapokuja kuleta ulinganisho wake na MESSI tunakuona huna akili!, na hutazami mpira. Hivi interms of performance Mbappe kamzidi nini Messi? Unajua mpaka sasa Messi ana Man of the match(MOTM) 4 kati ya hizo 3 kapata kwenye Knock out stages? na mind you angekua nazo 5 mpaka sasa kwa sababu ile ya Poland aliamua mwenyewe kumpa Mac allister. Mpaka sasa Mbappe ana MOTM mbili(2) tu,alafu unakuja kumlinganisha na Messi.Ok niambie Mbappe kamzidi nini Messi mpaka sasa toka tournament imeanza! Assist? Magoli? au nini? Jana licha ya yeye kutoa assist lakini MOTM kapewa Griezmann, you know why? Performance ya mchezaji ni zaidi ya magoli na assists.Acheni kuangalia mpira LIVESCORE.
MOTM Mbappe anazo 3 mzeeSisi hatushangai vitu anavyo fanya Messi kwa sababu hajaanza leo!,na hatupingi uwezo wa Mbappe.Concern hapa ni kuleta kumlinganisha Messi na Mbappe kwenye hii tournament ,wakati in terms of performance kwenye hii tournament Mbappe hakuna alichomzidi Messi.Sote tunaangalia mpira toka WC imeanza MOTM wa france team ni Giroud ana MOTM 2 ,Mbappe 2 Grieazmann 1.Wakati Argentina Messi anazo 4.Ulinganisho wa Messi na Mbappe unatoka wapi?
Tukishinda nitakuomba urafiki sawa eee..ππAs usual
Sisi ni kusokomeza moto tu mwanzo mwisho.
Dunia imetutuma kubeba kombe
Ufaransa ikishinda dunia nzima na watu wa kabila zote wanafurahi[emoji91]
Viva France [emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Fainali ilikuwa ni jana, jumapili tunakamilisha ratiba tuUnatumia nguvu sana kuwaaminisha watu ndoto zako hadi wafaransa wenyewe wanakushangaa
Mimi namkubali sana Messi..ila siyo timu ya Ajentina..kama messi angekuwa spain au Germany basi ningekuwa die hard fan..Ila sasa yuko kwenye taifa la kiboya ubaguzi na matakataka mengineKumbe kamanda wangu bado tu unamchukia huyu kiumbe kuwahi kutokea? Hahaa
Argentina is my favourite team.. Messi and Diego ndio wachezaji wangu bora kuwahi kutokea.. ubaguzi kila mahala kamanda, hata timu lako unaloshabikia si ajabu wengi wao mabaguzi, linchi lako pia limejawa na mabaguzi
God bless Argentina π¦π·
Wewe matako unayo??Akili huna
Akili hunaUbaguzi Africa tunaongoza
Tutapiga vyombo kwa kwenda mbeleTukishinda nitakuomba urafiki sawa eee..ππ
Mimi naomba Messi asipate ballondor nyingine zisiwe 8 Asije akaanza kuitwa LM8. ..zibaki hizo hizo saba.Nyie mmeumia kwa Messi kuendelea kubaki kwenye michuano wakati 'icon' wenu ametoka, hivyo akisifiwa humu mnaona kama anakuzwa...
Kuhusu yeye kukosa penalty nyingi sio hoja, muhimu ni Sasa kwamba yeye ndiye mchezaji bora wa hii michuano mpaka sasa.
Kuna tuzo nyingine inakuja na kombe la dunia juu.
Johnny Sack verifaidi yuza Its Pancho
Duh, kweli chuki ni chuki tu haihitaji sababu.Mimi namkubali sana Messi..ila siyo timu ya Ajentina..kama messi angekuwa spain au Germany basi ningekuwa die hard fan..Ila sasa yuko kwenye taifa la kiboya ubaguzi na matakataka mengine
Ana assist 20?Griezman anakuwa mchezaji wa kwanza kutengeneza zaidi ya nafasi 20 kwenye World Cup