Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Dogo Kylian, kiboko ya Virikou[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nyie vishoti,mnamuona Mbappe lakini??View attachment 2447602

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Afu hii picha mnaikuuuza...wakati hapo alikuwa ndani ya box anapiga kufunga, ndio maana Hakimi hapo ameslaidi ili ablock mpira.

Mchezaji yeyote (Hata lukaku) akiwa ndani ya box tena kama hana msaada wa mtu wa kumpa pasi ya haraka lazima azongwe hivyo.

Messi anakabwa hivyo katikati ya uwanja.
 
Sawa MOTM anazo 3 Comparison na Messi inatoka wapi mkuu? Kamzidi nini Messi?
 
Uzuri ni kwamba sisi hatuna chuki wala makasiriko. Dogo ni mchezaji mzuri na akiendelea hivyo ataheshimika kama Thierry Henry au Zinedine Zidane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…