Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Baki na Miss penati wako, usinipangie ninachoamini maana hatuwezifanana mitazamo sawa duniani kote.Naku elewesha tena ndugu mkono ahuusiki kwenye mpira zaidi ni goli kipa Tu ivo vidole vipo kichwani?? Si mkononi ile penati ya mwisho ya France si mchezaji wa ARGENTINA MABINGWA WA DUNIA mpira ulizuiliwa na mkono ndio ikawa penati mbape akafunga kama mkono unahusika ile penati ilitokana na nini?
Mkono ndio ulileta penati autakiwkucheza mpira kama ni ivyo ile penat ya kunawa ya france basi sio halali au jibu ile penat ilitokana na nni?
Ombi lako limeshajibiwa mama🙏Mungu nimekuita kwa ajili ya Argentina tangu waaibike kwa mechi ya saudi na nikauona ukuu wako. Mungu naomba leo ukajidhihirishe tena ili hata asiyekuamini akuamini. Wapatie Argentina ushindi. Nitarudi hapa baada ya ushindi. Maana Mungu niliyemuita Mungu wa mama yangu hawezi niabisha. Watch and see His greatness
Kabisaaaaaaa!! Kwa tulivopambana siaminiiii 😭😭😭😭Mkuu tukauguze maumivu ya kufungwa na waajentina🤣🤣
Mashabiki wa cr7 ni mashoga wote
National Anthem sasa mnaweza kwenda hata Maldives🤣🤣🤣🤣Kabisaaaaaaa!! Kwa tulivopambana siaminiiii 😭😭😭😭
Kwa mujibu wa hiyo picha mkuu upo sahihi kwa maana uki zoom kuna vidole vinezidi hapoSCARS hii offside unaizungumziaje Chifu, ni kweli ilikuwa offside au na mimi nina chuki binafsi kama mazumbukuku ya Miss penati na mbeleko FC/Argentina [emoji116][emoji848]View attachment 2451096
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
😅😅😅😅 usikawie tuwahi mapema kufurahia, asitie doa ushindi wetu wa Argentina .. si wajua mambo ya wazee wa kaleBabe yaani Jumanne tu ndio ukimbie mji. Hebu kuwa na subra. Mbona sie tumesubiri hadi tunastaafu ndio tunapata kombe la dunia!!!
Exactly 💯 💯Huyo ndio mchezaji Bora wa mashindano
I said this after Mbappe equalizes and sent the game to extra time.Messi haiwezekani ubebe ndoo kirahisi hivi
Endelea kuota.....Argentina world cup done......man city uefa loadingEpl inarudi wiki ijayo..tuanze kumtembezea Pep bakora sasa
Chifu usibishane na Mataahira maana mahaba (hisia) yamezidi ubongo (akili), la sivyo utajikuta unapoteza tu muda wako kwa hao mahaba niuwe wa Missi penati [emoji28]Lakini Mbappe amepiga hat trick, ana kiatu cha dhahabu mkuu, at just 23 unadhani huyu dogo mchezo?
Zile dakika 70 za mwanzo ilikua hatari tupu 🤣! Nivile tu wamebeba Kombe ilaaa Mbapeee yuko juuu Ufaranza leo tuumechezaaa basi tyuuu😁😁National Anthem sasa mnaweza kwenda hata Maldives🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 asante sana kwa barakaa zako mkuu.. mbaki salamaaa..National Anthem sasa mnaweza kwenda hata Maldives🤣🤣🤣🤣
Mbappekombe la moyoni na la live lipi bora??? kwani alitaka la moyoni??
VP mkuuI said this after Mbappe equalizes and sent the game to extra time.
Finally, you did it...
amina utukufu umrudie Mungu muumbaji.Ombi lako limeshajibiwa mama🙏
🤣🤣🤣🤣🤣 EPL woyooNawashukuru wote tuliokuwepo toka 20 November...sasa turudi kwa Halaand
Mabalaaa....ukucha🤣🤣🤣🤣😅😅😅 asante sana kwa barakaa zako mkuu.. mbaki salamaaa..