Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Baki na Miss penati wako, usinipangie ninachoamini maana hatuwezifanana mitazamo sawa duniani kote.

Chukua [emoji115][emoji115] hiyo kwa faida zaidi ya afya ya akili yako.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ombi lako limeshajibiwa mama🙏
 
Karibu chesii- EPL
Ingawa tunapitia msoto flan hivi

Karibu UEFA
Real Madrid + chesii


Soon nanunua jesi ya atheno,, nina mubebe pale aitwa Saka na Jesus
Cc yesamrich
 
SCARS hii offside unaizungumziaje Chifu, ni kweli ilikuwa offside au na mimi nina chuki binafsi kama mazumbukuku ya Miss penati na mbeleko FC/Argentina [emoji116][emoji848]View attachment 2451096

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa mujibu wa hiyo picha mkuu upo sahihi kwa maana uki zoom kuna vidole vinezidi hapo

Na hiyo sijui ndio ile shambulizi lililookolewa golini ambapo line 2 alinyoosha flag kuashiria ni offside wakati mwamuzi wakati akiruhusu mpira uanze kati ikiwa na maana amekubali no goli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…