Kwa nn asisemwe Messi kama ni chuki tu?Mm Wala sioni shida ya Ronaldo wala messi Ni chuki tu kwa mafanikio yake ndio husda kwa wengi ila mm mreno Yuko Safi Sana nampenda Sana Kama nilivyompendaga Luis Figo enzi hzo
Ndiyo walipize kisasi sasaGhana wana kazi ya kuwatandika hawa Uruguay. Wakaze hasa siku hiyo, Sare haina uhakika sana.
Naona umekomalia mada zako sasaKwa taarifa yako Gay wa kulipwa ili ajitangaze ni yule jamaa wa prison break. Yule hata mie nasema kajitangaza ili kuu promote ushoga, ila yeye sio shoga.
Cr7 ni chakulaaaaaaa tangu mdaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu tolu anaendana na Twaha kidukuAndre na Jordan wote watoto wa Abeid Pele na ana miaka 32 na ni Captain wa timu ya Ghana
Jordan ana miaka 31 na anachezea Crystal Palace
Watoto mwingine wa Abeid Pele ni Ibrahim Ayew na Imani Ayew, Ibrahim Ayew ana miaka 34 (Kaka mkubwa) ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Taifa la Ghana na kwa sasa anaichezea timu ya Bruno's Magpies kwenye ligi ya Gibraltar (National League)
Last born wao anaitwa Imani Ayew au (Inaya) yeye ni msichana peke katika familia ya watoto wanne wa Abeid Pele na yeye anajishughulisha na fashion tofauti na kaka zake watatu ambao wamejikita kwenye mpira wa miguu
View attachment 2430421
Amna sina temper namzinguaga tu uyo jamaaNa ww nlikuwa nakuona mwana sana kumbe na ww una temper za haraka...
Usi mind bwana kikubwa anawapambania basi hayo ya [emoji304] ni yake mwenyewe cr7
Cr7 anajisikia mno mno wanaompenda ni watu wenye kariba yakeKwa nn asisemwe Messi kama ni chuki tu?
Mapenzi kwa mtu yasiwapofushe na kuukataa ukweli
Ni wivu tu🤣Kama alifunga iyo niite mbwa niko pale mwakaleli mbeya
Kinachotu sumbua vijana niNi wivu tu[emoji1787]
🤣🤣Kinachotu sumbua vijana ni
1.wivu 2. Chuki 3.Nyege
Asante.Tupoo
App gan hii??STAKE A WIFEView attachment 2430411
BetpawaApp gan hii??
Inaingia akili maana kuna mtoto alizaa mkewe kwenye chupa means hawakukutana kimwiliHayo ya kujiskia me wala siyajal kwa kuwa hata mimi nina ego...
Ila ukweli usemwe he is a member of the [emoji304] club
Ghana sio wabaya, ila kuliko Cameroon ni bora angepita Algeria
Kama Euro waliichukue kizembe hivi hiviSisi Portugal tunaenda mdogomdogo tu kama hatupo vile.
Mfano mi nabet, nikaandika nimeingiza 98,000 kuna mtu kanitusi, wakati sijamfatilia wala kumjibuWabongo ni watu wa ajabu sana.
Wazungu maisha yao ni ya ajabu sanaInaingia akili maana kuna mtoto alizaa mkewe kwenye chupa means hawakukutana kimwili
Huwa nashangaa sanakuna watu wanapaa yaani Kiuno usawa wa kichwa cha mtu mrefu
View attachment 2430532