Mpira aliopewa Martinez na alivhoshoot ni fyongo, yule kijana hajatulia atakuwa na safari ndefu sana. Mesi kampa chakula kilichokwisha pikwa akashindwa kumezaKumbe Messi anaelezeka eeh?
Ngona nami nimeulezee Martinez
Alipata mpira akashuti hakuwa na utulivu ukapaa kama ambavyo alivyopaza Messi kwe ye attempt yake ya mwanzo kabla hajapata bao
Si umeona kumbe ishu ni kukosekana tu kwa maelezo mazuri ila Martinez aliteleza kama ilivyo kwa Messi
Nina wasiwasi maana ni chama languHii futa hii aseeh kabla hujabadiri baadae [emoji23][emoji1787][emoji23]
Mkuu uingereza Ni mbovu ila kutolewa na Senegal hicho kitu hakipo ...Nilivyo tizama mechi yao na USA ndipo nikajua kwamba wa kawaida,pili kocha wao hajiamini anasikiliza maneno ya nje ya magazeti na kelele za mashabiki,kwenye kupanga kikosi chake.
Ngojea tuone.Mkuu uingereza Ni mbovu ila kutolewa na Senegal hicho kitu hakipo ...
Mbona kwenye ile piga nikupige naye Messi alimlenga kipa lakini hazungumzwi sana?Mpira aliopewa Martinez na alivhoshoot ni fyongo, yule kijana hajatulia atakuwa na safari ndefu sana. Mesi kampa chakula kilichokwisha pikwa akashindwa kumeza
Uzuri wote mpira tumeangalia bana
France yap lazima tushindeKesho mabigwa watetezi wanacheza.
Ni furaha tuu.
Nilkuwa nimeweka unazi mbele kwenye mechi hii ya Argentina.
Narudi sasa kwenye uhalisia. Game ya Uholanzi na Argentina ili Messi na wenzake waweze kwenda nusu watahitaji kurekebisha kwanza madhaifu makubwa ya ukuta wao, Otamendi muda umempita wapewe nafasi wengineo.
Hakika sio washinde ndo wengne waanze kujitokeza.. Tujuane mapema ili sik iyo mmoja aende nymbn mapema.Plz plz plz mashabiki wa Netherlands [emoji1179] mjitokeze tuwahesabu leo ni Saturday na game yetu ni Friday hatutaki visingizio jitokezeni tuwajue
Kweli duniani majaabu hayaishi!
Waache waendelee kukaza shingo[emoji1787]England hawezi tolewa na timu za Africa ,mbona mnakaza fuvu .....
Hii ni timu pendwa duniani ,iwe mvua au jua ,goli la mkono au la kisigino lazima Senegal aondoke ...
Yan Mkuu ukisema Higuain naumia sana yule falaa 2014 alitukosesha ubingwa kbs Yan dah bas tu.Argentina [emoji1033] hatutamsahau Higuain wa final ya world Cup ya mwaka 2014 hata jana nimemuota kwa alichotufanyia siku ya game na yeye mwenyewe hatasahau hyo game sijui sijui nini kilimpata hadi akatunyima [emoji1628] gold medal ila pia inawezekana Di Maria angecheza tungenyanyua makwapa
Design anaogopa kufunguka, wewe unaongoza moja dk 50 unaingiza beki Martinez.Coach kama coach kuna vitu anazingua mnoo,
Kuna group nipo la argentina nahisi me ndiyo African mwenyewe.
Wanasema coach anazingua mnoo kwenye selection dizaini Leo ndiyo anaziba mapengo yake unless otherwise mambo inakuwa mbaya mnoo.
Wanasema watafikisha ujumbe kwa AFA.
Vamoooossss Argentina🤍[emoji171]
Ndo maana leo hawakutk kumrisk apumzke kusbr game ya [emoji1179].Di maria anq nyota na argentina, gem nying akiwepo wanashindaga.
Kesho wazee wa kuweka mimeka mambo ni bum bumMechi za baadaye hata sijui nikae upande ganiView attachment 2435010
Namuona Bwana Mkubwa anaongoza striking force pale mbele[emoji23].Group stage worst XIView attachment 2435013