Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

20221122_151012.jpg
 
Aisee leo ningebet ningekula hela aiseeee
Nyie si mnanionaga mi coward navyo shabikia bila kuweka cheddar

Sasa leo hii kuna vibopa vimepasuka kwa muhindi vinapiga hesabu jinsi gani ya ku fix hiyo hasara

Njia wanayoifikiria ni kuweka matumaini kwa Mexico wazee wa Narcos

Baada ya mpira kuisha tutakamatana hapa hapa kujua jumla ya hasara waliyoipata
 
Nyie si mnanionaga mi coward navyo shabikia bila kuweka cheddar

Sasa leo hii kuna vibopa vimepasuka kwa muhindi vinapiga hesabu jinsi gani ya ku fix hiyo hasara

Njia wanayoifikiria ni kuweka matumaini kwa Mexico wazee wa Narcos

Baada ya mpira kuisha tutakamatana hapa hapa kujua jumla ya hasara waliyoipata
🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nilipoona tu wamemchukua Otamendi na kina Di Maria nikajua hawafiki mbali

Kuna jamaa hapo juu nilimwambia hata Argentina akishinda leo ila hawezi mfunga Brazil kwa namna yoyote ile kwa aina ya Squad yao
Angemfunga si ata copa america alimfunga final Derby yao
 

Full-time: Argentina 1-2 Saudi Arabia​

A true World Cup shock that will go down in the annals of time! No one before kick-off, unless maybe you were wearing Saudi Arabia’s green, would have suspected this.
The Green Falcons will have their keeper Al-Owais to thank who caught almost everything that came his way in this match. What a result!
Argentina will rue those several disallowed goals in the first half for offside.

Aljazeera.
 
Back
Top Bottom