Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Madrid huwa anajiamini sana Kuna wakat mpaka Sub huwa anagomea anataman aendelee kukiwasha tu Ila Brazili naona Ni taofauti kidgo sijui kwakuwa anacheza Na mastaa wengi?Hata mie hivyo aisee
Ila bado umri mdogo atakuja kutisha Sana timu YA taifa mbeleni kipindi hichi Neymar hayupo.