Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

IMG_6262.jpg

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.

2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.

2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]

Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira View attachment 2446517
Unajua wakiona unaandika hivi wanajua wewe una chuki na Messi lakini kumbe wala. Mimi binafsi namkubali Messi ila ambacho nashindwa kukubaliana na wengi anapewa sifa kupitiliza na kuwekwa kwenye dunia tofauti na wachezaji wengine bora.

Yan media zinamhype kupitiliza. Tunaweza kumsifia lakini yeye sio Mungu wa mpira ni bora kati ya wengine bora katika soka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Ufaransa katika Kombe la Dunia 2022 kimekumbwa na ugonjwa siku moja kabla ya mechi yao muhimu ya Nusu Fainali dhidi ya Morocco.

Ugonjwa huo unaokuja na homa na kuumwa koo umeanza kusambaa kati ya wachezaji wa timu hiyo na kuleta wasiwasi mkubwa.

Dayot Upamecano alianza kujisikia vibaya, hivyo Jumatatu hakuweza kufika mazoezini. Kufikia Jumanne, Upamecano na Adrien Rabiot walikosa mazoezi sababu ya kuugua. Hali hii imelazimu kufanyika kwa maandalizi ya mabadiliko kwenye dakika za mwisho.

Hivi sasa, Ibrahima Konate na Youssef Fofana wako wameandaliwa ikiwa Dayot na Adrien watashindwa kucheza.

Tetesi zinasema kuwa Karim Benzema ambaye amekuwa majeruhi na kushindwa kucheza hata mechi moja ya Kombe hili la Dunia,sasa yupo fit na ameshaanza mazoezi tangu Jumamosi, hivyo atakuwa tayari kujumuika na kikosi ikiwa atahitajika.

Maulidizio Kitengemano
 
Si kila anayemkataa Andunje ni mshabiki wa CR 7.

Unawapangiaje Watu wote duniani wamshabikie huyo Andunje [emoji848]

Ninyi ndiyo huwa mnawaita Watu kuwa ni Waislamu wasiofungamana na sera za USA na EU kusapoti Ukraine kupambana na Russia kisa tu hawamkubali Zelensky (Ukraine), au kuwaita Watu mashoga wanaowakubali USA na EU kisa tu kumkataa (Putin) Russia [emoji16]

Watu tupo duniani zaidi ya B 8 kasoro M 200 afu unataka sote tumkubali Andunje, kweli itakuwa dunia ya Watu wenye akili, si itakuwa ni dunia ya Mazezeta tu [emoji848][emoji1732][emoji16]
Hii comment naona unaizungusha kila mahali, pole Ronaldo katoka, kazidiwa uwezo
 
N

inachosema matendo ya watu hayahalalishi yaliyo ya HARAMU.... Bwana Mungu wetu ametutaka TUSIZINI, hata wakizini WATU WOTE DUNIANI haimaanishi SHERIA YA MUNGU IMEBADILIKA..
Mapokeo + asili yetu = kutojichosha na mapokeo
Cc tuliita maadili @ adabu = wazee wetu wakatufikisha hapa leo tunaita nidhamu za uoga = tukapewa amri 10 ukifuatilia sana hakuna la tofauti na Yale ya wazee wetu tatizo tulikosa wa kutuandikia na huenda tungekuwa na dini zilizo Bora zaidi na jamii Bora zaidi!!!!
Kikubwa enjoy mpenzi life is too short!! Kikubwa usiende nje ya maadili!!
 
Takwimu gani ulizoleta wew za kijinga hizo Yani mtu Kwa season 2022/2023 hajafika Goli 24 unakuja kumsifiasifia Messi alikua anauwezo wa kufunga 90 + Kwa mwaka mzima tena akiwa na penati chache sana wew unakuja kuleta madudu Yako apo eti amepeform kitu Gani alichoperform Messi uwezo wa kufunga,kuasist,kupiga faulo,speed umepungua sana Ata uwo uwezo wakupiga penati Messi alikua anauwezo wakupiga penati hata 10 mfululizo Bira kukosa ila kweny penati Tano Kuna uwezekano moja akakosa mwaka huu tayari kashakosa penati mbili hadi Sasa alikosa penati kweny mechi ya PSG na Real Madrid akikosa penati kweny mechi na Poland juzi apo msimu uliopita akiwa na PSG alikua na jumla ya Goli 12 Kwa msimu mzima akiwa PSG unakuja kumjaza apa ivi mtu kutoka kufunga Goli 50 kweny ligi Kwa msimu had kuja kufunga Goli 11 Kwa msimu kweny ligi ni kuperform huko mashabiki wa Messi sjui Huwa mnajikuta kinani Vile
Mwaka gani kafunga goli 90+ kwa mwaka mmoja?
 
Mwaka gani kafunga goli 90+ kwa mwaka mmoja?
Nimeona hili swali nikagundua kumbe we argue na watotot wadogo sana....hili pia hujui na wajinasibisha na soccer la ulaya???

Kwa kukusaidia kidogo tu, ndio mwaka aliefunga gori 51 kwenye msimu mmoja wa la liga hii pia ni record ambayo pia haijavunjwa.....najua mpira wenu upo YouTube nenda katafute hilo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kaeni kwa kutulia wakuu...
Watakaofika fainal, mwenye uwezo wake ndani ya uwanja dk 90 au 120 ndiyo atabeba....

Iwe kwa mikwaju ya penati au vyovyote lazima mshindi wa ndoo ya dunia lazima tumpate tu...

Hakuna haja ya kubishaana sana, tusubiri game tamu ya usiku wa leo tumpate mtabe ataemenya na mshindi wa ½ fainali ya kwanza...

Nilishasema, kuchukia/ kubeza timu au wachezaji wa timu anayoshabikia mwenzio haitasaidia timu yako kufanya vizuri au haitazuia timu nyingine kushinda kama ina uwezo huo...

Swala ni uwezo ndani ya uwanja dk 90 au 120 na siyo kubishana kwa kuangalia rekodi za nyuma na historia pekee....

Mwisho yoyote anaefika hatua flani jua kafika kwa uwezo wake ndani ya uwanja... kazi yetu ibaki kuchek na kufurahia mpira mzuri...

Kaeni kwa kutulia wazeia, hili goma linogile....
 
Ushindi ni wa Morocco na Waarabu tu

Nyie wengine mbona mnaitaja taja nchi yetu ya Morocco na sisi waarabu

Tulia leo tunavyomnyeshea ufaransa mvua ya magholi sisi waarabu
 
Kaeni kwa kutulia wakuu...
Watakaofika fainal, mwenye uwezo wake ndani ya uwanja dk 90 au 120 ndiyo atabeba....

Iwe kwa mikwaju ya penati au vyovyote lazima mshindi wa ndoo ya dunia lazima tumpate tu...

Hakuna haja ya kubishaana sana, tusubiri game tamu ya usiku wa leo tumpate mtabe ataemenya na mshindi wa ½ fainali ya kwanza...

Nilishasema, kuchukia/ kubeza timu au wachezaji wa timu anayoshabikia mwenzio haitasaidia timu yako kufanya vizuri au haitazuia timu nyingine kushinda kama ina uwezo huo...

Swala ni uwezo ndani ya uwanja dk 90 au 120 na siyo kubishana kwa kuangalia rekodi za nyuma na historia pekee....

Mwisho yoyote anaefika hatua flani jua kafika kwa uwezo wake ndani ya uwanja... kazi yetu ibaki kuchek na kufurahia mpira mzuri...

Kaeni kwa kutulia wazeia, hili goma linogile....
Kuna waliofika kwa uwezo wa pernaties kutoka kwa VAR
 
Back
Top Bottom