Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Team Messi inamaana hii ndio mmeshindwa kuizungumzia hata kwa unafki tu??

Siku inataka kuisha bila hii kitu kusikia maoni kutoka kwenu

Toeni neno bana hata kama ni la kubeza toeni tuwasikie

Hamuwezi mkakaa kimya kama hakijatokea chochote wakati tunajua wote mliangalia mpira

View attachment 2447431
Messi kafanya sana haya kwenye career yake....hakuna jipya hapo.

Ni kwamba hamkumbuki au mnajifanya mmesahau ya Messi ?
and 100 others Its Pancho NAJYUZ Interlacustrine E
 
Team Messi inamaana hii ndio mmeshindwa kuizungumzia hata kwa unafki tu??

Siku inataka kuisha bila hii kitu kusikia maoni kutoka kwenu

Toeni neno bana hata kama ni la kubeza toeni tuwasikie

Hamuwezi mkakaa kimya kama hakijatokea chochote wakati tunajua wote mliangalia mpira

View attachment 2447431
Wamejizima data[emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo hicho kinachoonekana pichani hapo ni kitu normal?

Au ni normal kwasababu kimefanywa na mtu mwingine tofauti na Messi?
Scars achana na kubishana na watoto wa shule Kuna vitu unapoteza mda wako Yani imefika time mashabiki wa Messi Kuna vitu wanashangaa Messi akifanya kweli mtu anashangaa Messi kuwa top assist wa kombe la Dunia even kina Juan cuadrado Thomas muller wamewahi kuwa ma top assist wa kombe la Dunia Messi ambaye alikua anafunga Goli 90 Kwa mwaka Leo tunashangaa kuwa top assist Tena Tatu Yan unajiuliza ivi uyu Messi wameanza kumtizama lini wameanza kumtizama akiwa PSG au unajiuliza je wangemuona yule Messi ambaye alikua ana uwezo wa kufunga Goli Tano Kwa mara moja kweny champions league ingekuaje si wangemuita Mungu hawa Tuacheni ushamba wa mpira
 
Sasa wakibeba Argentina u afikiri hali itakuwaje kama tu kufika semi final naskia huko Argentina walikuwa wanapeperusha jezi ya Messi kwenye holicopter

Wakichukua kombe unafikiri huko angani kutakuwaje?
Mashabiki wake wataenda kuwa mandondocha kabisa

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Messi kafanya sana haya kwenye career yake....hakuna jipya hapo.

Ni kwamba hamkumbuki au mnajifanya mmesahau ya Messi ?
and 100 others Its Pancho NAJYUZ Interlacustrine E
Sasa kama kafanya kwanin mnaleta ushamba wenu wakizamani akifanya kitu kidogo tu inakua kama ni kitu kipya kwake au mnazani tumesahau Ile mipenati aliyokua anakosa kweny Copa America had ikafika time akataka kustafu
 

Attachments

  • Screenshot_2022-12-15-13-11-10-37.png
    Screenshot_2022-12-15-13-11-10-37.png
    159.2 KB · Views: 5
Uliangalia lile vibe la France 2018 kuanzia wanavyobeba kombe uwanjani, hadi kule changing room walivyokuwa na president wao mpaka wanavyoingia kwenye ndege kurudi kwao, asee sidhani kama kuna nchi itakuja shangilia WC kama walivoshangilia France that year
Sisi Wafaransa tunashangilia tukibeba kombe ila sio stage za huku chini
 
Atoe hela.
Ni halali kuwa tunaishia kuwa wasindikizaji tuu.

Nafikiri wanajuta sana saaizi
Kwamba Mbappe angekuwa Cameroon wangechukua Kombe, au Zidanne angekuwa Algeria ?

Kushinda kombe sio kipaji pekee hakuna timu talented kama South America ila sio mara zote inachukua kombe.., Argentina bora ilikuwa ya kina Juan Román Riquelme, Saviola na hapo Messi akiwa Benchi ila ndio hivyo hawakuchukua Kombe...

Ugiriki walichukua Kombe la Ulaya kwa kupaki Basi... Portugal walichukua Kombe la Ulaya kwa ngekewa na happenstances ila ndio hivyo Cup Competition
 
Mkuu tunasema kila siku hapa acheni kuangalia mpira lIVESCORE! Hatukatai Mbappe kafanya vizur hii World cup!.Ila unapokuja kuleta ulinganisho wake na MESSI tunakuona huna akili!, na hutazami mpira. Hivi interms of performance Mbappe kamzidi nini Messi? Unajua mpaka sasa Messi ana Man of the match(MOTM) 4 kati ya hizo 3 kapata kwenye Knock out stages? na mind you angekua nazo 5 mpaka sasa kwa sababu ile ya Poland aliamua mwenyewe kumpa Mac allister. Mpaka sasa Mbappe ana MOTM mbili(2) tu,alafu unakuja kumlinganisha na Messi.Ok niambie Mbappe kamzidi nini Messi mpaka sasa toka tournament imeanza! Assist? Magoli? au nini? Jana licha ya yeye kutoa assist lakini MOTM kapewa Griezmann, you know why? Performance ya mchezaji ni zaidi ya magoli na assists.Acheni kuangalia mpira LIVESCORE.
Wewe sasa ndo unaangalizia mpira Livescore
 
Scars achana na kubishana na watoto wa shule Kuna vitu unapoteza mda wako Yani imefika time mashabiki wa Messi Kuna vitu wanashangaa Messi akifanya kweli mtu anashangaa Messi kuwa top assist wa kombe la Dunia even kina Juan cuadrado Thomas muller wamewahi kuwa ma top assist wa kombe la Dunia Messi ambaye alikua anafunga Goli 90 Kwa mwaka Leo tunashangaa kuwa top assist Tena Tatu Yan unajiuliza ivi uyu Messi wameanza kumtizama lini wameanza kumtizama akiwa PSG au unajiuliza je wangemuona yule Messi ambaye alikua ana uwezo wa kufunga Goli Tano Kwa mara moja kweny champions league ingekuaje si wangemuita Mungu hawa Tuacheni ushamba wa mpira
Sisi hatushangai vitu anavyo fanya Messi kwa sababu hajaanza leo!,na hatupingi uwezo wa Mbappe.Concern hapa ni kuleta kumlinganisha Messi na Mbappe kwenye hii tournament ,wakati in terms of performance kwenye hii tournament Mbappe hakuna alichomzidi Messi.Sote tunaangalia mpira toka WC imeanza MOTM wa france team ni Giroud ana MOTM 2 ,Mbappe 2 Grieazmann 1.Wakati Argentina Messi anazo 4.Ulinganisho wa Messi na Mbappe unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom