Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa mmoja mwenzie anasubiri final
Yeye yupo bado Juu ya ndege wenzie wameshashushwa kwa klabu zao week hii rubani hajui amshushe wapi wapo tu angani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa mmoja mwenzie anasubiri final
Yeye yupo bado Juu ya ndege wenzie wameshashushwa kwa klabu zao week hii rubani hajui amshushe wapi wapo tu angani
Huyo siku ya final kuna wakimbizi watakimbia huku mwezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watakimbia kwelii maana mpira wa Argentina for the last two matches was superHuyo siku ya final kuna wakimbizi watakimbia huku mwezi
Atoe hela.Hakuomba kuchezea France. Sema ubora wake ulimfanya kuitwa kwenye team ya Taifa ya Ufaransa. Kule Cameroun aliomba wakamwambia baba yake atoe hela.
Hilo ni jibu sio swali.Hv umejiaminisha kabisa Argentina ni bingwa!!??
Messi kafanya sana haya kwenye career yake....hakuna jipya hapo.Team Messi inamaana hii ndio mmeshindwa kuizungumzia hata kwa unafki tu??
Siku inataka kuisha bila hii kitu kusikia maoni kutoka kwenu
Toeni neno bana hata kama ni la kubeza toeni tuwasikie
Hamuwezi mkakaa kimya kama hakijatokea chochote wakati tunajua wote mliangalia mpira
View attachment 2447431
Hizi ratiba za extra time hatuna kakaFull time France 0 - 0 Ajentina
Extra time France 2 - 0 Ajentina
Anduje atajua hajui
Wamejizima data[emoji1787]Team Messi inamaana hii ndio mmeshindwa kuizungumzia hata kwa unafki tu??
Siku inataka kuisha bila hii kitu kusikia maoni kutoka kwenu
Toeni neno bana hata kama ni la kubeza toeni tuwasikie
Hamuwezi mkakaa kimya kama hakijatokea chochote wakati tunajua wote mliangalia mpira
View attachment 2447431
Scars achana na kubishana na watoto wa shule Kuna vitu unapoteza mda wako Yani imefika time mashabiki wa Messi Kuna vitu wanashangaa Messi akifanya kweli mtu anashangaa Messi kuwa top assist wa kombe la Dunia even kina Juan cuadrado Thomas muller wamewahi kuwa ma top assist wa kombe la Dunia Messi ambaye alikua anafunga Goli 90 Kwa mwaka Leo tunashangaa kuwa top assist Tena Tatu Yan unajiuliza ivi uyu Messi wameanza kumtizama lini wameanza kumtizama akiwa PSG au unajiuliza je wangemuona yule Messi ambaye alikua ana uwezo wa kufunga Goli Tano Kwa mara moja kweny champions league ingekuaje si wangemuita Mungu hawa Tuacheni ushamba wa mpiraKwa hiyo hicho kinachoonekana pichani hapo ni kitu normal?
Au ni normal kwasababu kimefanywa na mtu mwingine tofauti na Messi?
Mashabiki wake wataenda kuwa mandondocha kabisaSasa wakibeba Argentina u afikiri hali itakuwaje kama tu kufika semi final naskia huko Argentina walikuwa wanapeperusha jezi ya Messi kwenye holicopter
Wakichukua kombe unafikiri huko angani kutakuwaje?
[emoji1787][emoji1787]Kabla sijaanza kuscream nikaumbuka naomba source[emoji2]. Mana kila saa naenda kuchungulia kwa fabrizio sjaona kaliongelea hili popote
Sasa kama kafanya kwanin mnaleta ushamba wenu wakizamani akifanya kitu kidogo tu inakua kama ni kitu kipya kwake au mnazani tumesahau Ile mipenati aliyokua anakosa kweny Copa America had ikafika time akataka kustafuMessi kafanya sana haya kwenye career yake....hakuna jipya hapo.
Ni kwamba hamkumbuki au mnajifanya mmesahau ya Messi ?
and 100 others Its Pancho NAJYUZ Interlacustrine E
hao ni marafiki sana na wanachezea timu moja ya PSG ya Ufaransa, Mbappe ametuma picha hiyo kwenye IG yake akimpa moyo kwamba amejitahidiHeeeee
Ni hilo hug au furaha ya ushindi!!
Sisi Wafaransa tunashangilia tukibeba kombe ila sio stage za huku chiniUliangalia lile vibe la France 2018 kuanzia wanavyobeba kombe uwanjani, hadi kule changing room walivyokuwa na president wao mpaka wanavyoingia kwenye ndege kurudi kwao, asee sidhani kama kuna nchi itakuja shangilia WC kama walivoshangilia France that year
Kwamba Mbappe angekuwa Cameroon wangechukua Kombe, au Zidanne angekuwa Algeria ?Atoe hela.
Ni halali kuwa tunaishia kuwa wasindikizaji tuu.
Nafikiri wanajuta sana saaizi
Wewe sasa ndo unaangalizia mpira LivescoreMkuu tunasema kila siku hapa acheni kuangalia mpira lIVESCORE! Hatukatai Mbappe kafanya vizur hii World cup!.Ila unapokuja kuleta ulinganisho wake na MESSI tunakuona huna akili!, na hutazami mpira. Hivi interms of performance Mbappe kamzidi nini Messi? Unajua mpaka sasa Messi ana Man of the match(MOTM) 4 kati ya hizo 3 kapata kwenye Knock out stages? na mind you angekua nazo 5 mpaka sasa kwa sababu ile ya Poland aliamua mwenyewe kumpa Mac allister. Mpaka sasa Mbappe ana MOTM mbili(2) tu,alafu unakuja kumlinganisha na Messi.Ok niambie Mbappe kamzidi nini Messi mpaka sasa toka tournament imeanza! Assist? Magoli? au nini? Jana licha ya yeye kutoa assist lakini MOTM kapewa Griezmann, you know why? Performance ya mchezaji ni zaidi ya magoli na assists.Acheni kuangalia mpira LIVESCORE.
Sisi hatushangai vitu anavyo fanya Messi kwa sababu hajaanza leo!,na hatupingi uwezo wa Mbappe.Concern hapa ni kuleta kumlinganisha Messi na Mbappe kwenye hii tournament ,wakati in terms of performance kwenye hii tournament Mbappe hakuna alichomzidi Messi.Sote tunaangalia mpira toka WC imeanza MOTM wa france team ni Giroud ana MOTM 2 ,Mbappe 2 Grieazmann 1.Wakati Argentina Messi anazo 4.Ulinganisho wa Messi na Mbappe unatoka wapi?Scars achana na kubishana na watoto wa shule Kuna vitu unapoteza mda wako Yani imefika time mashabiki wa Messi Kuna vitu wanashangaa Messi akifanya kweli mtu anashangaa Messi kuwa top assist wa kombe la Dunia even kina Juan cuadrado Thomas muller wamewahi kuwa ma top assist wa kombe la Dunia Messi ambaye alikua anafunga Goli 90 Kwa mwaka Leo tunashangaa kuwa top assist Tena Tatu Yan unajiuliza ivi uyu Messi wameanza kumtizama lini wameanza kumtizama akiwa PSG au unajiuliza je wangemuona yule Messi ambaye alikua ana uwezo wa kufunga Goli Tano Kwa mara moja kweny champions league ingekuaje si wangemuita Mungu hawa Tuacheni ushamba wa mpira
Leta hoja mezani mkuu mbona kinyonge hivyo!.Wewe sasa ndo unaangalizia mpira Livescore
Ngoja Tuone [emoji16][emoji16]Sasa wakibeba Argentina u afikiri hali itakuwaje kama tu kufika semi final naskia huko Argentina walikuwa wanapeperusha jezi ya Messi kwenye holicopter
Wakichukua kombe unafikiri huko angani kutakuwaje?
Siyo normal ila pia siyo jambo geni kwetu mashabiki wa messi ndiyo maana hatujalizingatia sanaKwa hiyo hicho kinachoonekana pichani hapo ni kitu normal?
Au ni normal kwasababu kimefanywa na mtu mwingine tofauti na Messi?