Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kolo muani na marcus thuram wapewe lawama, wamewazamisha wenzao...
Marcus thuram alikuwa anacheza mpira wa anakwenda anakwenda... Mtu yupo kwenye nafasi haachi.

Same na kolo, ule mpira utulivu kidogo tu angempasia Mbappe..

Nadhani walikuwa wanataka kila mtu amalize game aimbwe..
 
Back
Top Bottom