raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ohoooooo ule mda umewadia sasa wakunyanyua woyooooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbappe akitaka kukaribia level za messi inabidi aende la ligaMbappe ni mchezaji mzuri ila hayupo kwenye daraja la Messi .. bado ana safari ndefu sanaaaa mkuu.. Messi ana ka ulimwengu kake, Mbappe akaze tu
Jiandae kwanza tutoke mtoko mmoja matata, tukafurahie 😅😅Mie nilizima tv, nikawa nachungulia Jf kama mwizi huku nina mhaho balaa. Nikisikia huko nje wanashangilia nahisi kufakufa🤣🤣🤣
Kwa nini mkuu?Messi asifananishwe na ujinga wwte tangia Leo , sio Pele wala Maradona wote weka kwenye dustbin
Basi nyie ndo mabingwaMwamuzi wa pembeni alinyosha kibendera lakini Refa akajizima data maana mpango wa FIFA ulishajulikana tu Miss Penalty na Mbeleko FC/Argentina wapite ila ukiiangalia picha vizuri kwa teknolojia ya VAR Mchezaji wa Mbeleko FC kazidi vidole [emoji38][emoji116]View attachment 2451081
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mbappe is a beast. We should put some RESPEK on his name. He deserves a spot in the realm of the G.OA.Ts.. He is too much for a 23 yrs boyLakini Mbappe amepiga hat trick, ana kiatu cha dhahabu mkuu, at just 23 unadhani huyu dogo mchezo?
Ishia hapo hapo mkuu🤣Jiandae kwanza tutoke mtoko mmoja matata, tukafurahie 😅😅
na hawezi kuja kupata Ballon d hata tatu 😅😅😅😅 akijatahidi sana atapata moja au mbiliMbappe akitaka kukaribia level za messi inabidi aende la liga
La sivyo atakua tu mchezaji bora ila hatakaa apate ballon d or
Mchezaji bora wa mashindanoMessiiiiii
Golden ball ndio tuzo gan hii
😅😅😅😅 mu Argentina mwenzangu huyoo nyie wafaransa kauguzeni maumivuIshia hapo hapo mkuu🤣
Hakika, hii w.end inabidi imalizike vizuuuuuuri kabisa🤣🤣🤣🤣Jiandae kwanza tutoke mtoko mmoja matata, tukafurahie 😅😅
Hii furaha yenu ndio mkapongezane? Ishia hapo hapo mkuu🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅 mu Argentina mwenzangu huyoo nyie wafaransa kauguzeni maumivu