Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina vamosssssssssss
I can't believe hii ndoto imetimia hadi machozi ya furaha yametutoka jana
 
Messi kafunga magoli mawili jana
Okay, so since 1966 ni miaka mingapi au world cups ngapi zimechezwa, hakuna aliyefanya hiyo kitu, hata Messi na Ronaldo pamoja na ubora wao wote, na levels kubwa walizofikia hawakuwahi kuset hiyo standard.

Give respect to the boy bwana!
 
Kusema ufaransa bingwa ni utashi wako hakuna anayekuzuia

Mtu yeyote anaweza kusema timu anayoipenda itakuwa bingwa kama ulivyofanya

Watu wanamwita messi ni mchezaji bora wa muda sio kwasababu ya mapenzi au mahaba

Messi kwa miaka ishirini hajashuka kiwango

Katika miaka yake mitano ya kwanza katika professional football

Messi alishachukua mchezaji bora wa dunia zaidi ya mara mbili

Alishacheza fainali ya kombe la dunia akapoteza

Simdharau mbape wala sio kwamba simheshimu ni kijana mzuri anajitahidi

Ila kwa uchezaji wake hawezi kushine afikie nusu ya mafanikio ya messi

Ajenge kwanza heshima kwenye klabu,timu za taifa ni mechi chache mno kwa mwaka hazizidi kumi
Ndio maana mfungaji bora wa muda wote kwenye timu za taifa anatokea sijui iran uko hata hajulikani

Pale psg,mbape yupo na messi na neymar,hawa wanaugomvi mkali sana itakuwa ngumu kutoboa wakiwa wote
2026 Ufaransa ni bingwa.

Kuna mtu anacheza legelege bila nguvu kutumika!?
Wivu huo.

Kijana ni exceptional sana.

Huyo Messi katika umri wa Mbappe alishachukua kombe la dunia?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Henry anaenda barcelona anaenda kumalizia mpira alikuwa na umri gani baadae akakimbilia usa
Kwa nini umeweka nadharia kwamba France hawezi fika fainali kwa miaka ishirini ijayo? Ndugu, wenzetu wana mikakati, wana mipango na wanawekeza, wanavutia talents kutoka mataifa yote duniani.

Uchezaji wa Mbappe na Henry una tofauti gani technically? Mbona Henry alicheza vizuri kwa mda mrefu sana?
 
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi bwana mdogo Messi angestaafu bila kombe la Dunia ingekuwa ni jeraha lisilopona kwa wapenda mpira
Bar tuliyokua tunaangalia hii fainali kulikua kumejaa washabiki wa France na wapambe wa CR7; wakati Argentina wanakabidhiwa kombe tulijikuta tumebaki watu watatu na ndo tulikua washabiki pekee wa Argentina.

Tulishangilia mpk sauti zilikauka.

Wengi walitamani France ashinde ili Messi asimfunike CR7 lkn maombi ya wachache yalishinda.

Bado naendelea kumtukuza Mungu kwa Argentina kubeba kombe.
 
Kuna ule mpira comman anampokonya messi mpira unaenda kuzaa goal sijawahi kushuhudia makosa yale yakifanywa na messi [emoji16]

Anaweza kwenda km kocha mchezaji anacheza dkk chache km ronaldo alivyofanywa msimu huu
Kweli jamaa kuumia nadra sana
Ila 2026 sidhan kwa jinsi anavyotroti sahv miaka mi4 mbele itakuwa ni lawama
 
Rukuta
Nawapongeza mashabiki wa argentina wote humu jamii forum

Safari ilikuwa ngumu lkn Mungu wa mbinguni alitupigania

Nimesoma comments zote nikiri wazi mashabiki wa argentina mpira wanaujua

No panic
No matusi
No hate language kwa wachezaji

Tulipofungwa mechi ya saudi arabia ndio nilifurahi sana ile ilikuwa ni wake up call kwa wachezaji walibadilika sana

Baada ya hapo mechi zote tulicheza vizuri mpaka jana

Makosa ya ottamend kusababisha tuta ndio kuliwarudisha ufaransa mchezoni

Maturity ya timu ilistahimili kipindi kigumu baada ya kusawazisha ufaransa

Mungu awabariki sana
Ningependa Christmas au new year tukutane tupate lunch km mshikamano, football huleta urafiki,undugu,upendo ujamaa

Kuna mashabiki washamba na wasio jua mpira wanamuita messi mfupi

Urefu wa messi ni 169cm na hiki ndicho kimo cha watanzania wengi tena wengi wanaishia 150cm

Ukiona shabiki anamshambulia mchezaji kwa lugha ya maumbile yake kwa chuki ujue huyo siyo mtu wa mpira ni kahaba aliyevamia mpira


Yote kwa yote football is a beautiful thing wandungu


Ile moment argentina anaongoza mbili kuna mzee alitoa ofa watu wanywe bia mbili wote
Ile bar ilikuwa na vibe

Ufaransa walipokuja kuchoka akainuka mfaransa akamlipa mzee bia zikatembea

Messi alipotuinua mzee wa argentina akatupiga round tena basi ikawa hivyo

Ni siku nyingine ambayo sitahisahau I love football
Tukutaneni wadau aseee
Tujimwaye mwayeeee
 
Back
Top Bottom