Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kante angekuwepo, Argentina asingebeba hilo kombe
Mark my words
Vamooooooooooooos Argentina!Mijamaa imechafuka mwil
Kante angekuwepo, Argentina asingebeba hilo kombe
Mark my words
Kipa gani huyo aliwekwa benchi kule Arsenal na Aaron Ramsdale! Hakuna kipa pale ni bahati tu France hawakuwa kwenye form yaoHii ilikuwa Msg kwenu wenye chuki
View attachment 2453814
Form gani hiyo mpk dk 80 walionekana kupagawa..... Walinasa kwenye mtego.Kipa gani huyo aliwekwa benchi kule Arsenal na Aaron Ramsdale! Hakuna kipa pale ni bahati tu France hawakuwa kwenye form yao
Aguero kasema ana heart problems ndomn kastaafu lakin alimbeba pessi juu juu huku anatrot,kapiga mangoma karukaruka kafanya vurugu zote na sjaskia akilala moyo wauma[emoji848]
Huyo ndio basi tena.. akawe kocha msaidizi tu hata wa fc portoIt hurts for his career to end that way,i wish asiende huko al nasr anyways wacha tusubr tuone
Wabaguzi sana ..kasoro messi tuMtu poa sana, almost wachezaji wote wa Argentina wako poa..
Kesho munapakatwa na wale kukuHuu Uzi bado unaenda tu!!!..... Embu achaneni nao chekini Liverkuku anavyonyonyolewa kesho
Wale livamapengo tunawanywa kiutamuutamuKesho munapakatwa na wale kuku
Miguu imejaa wino,cancer vp
Jana walibid tu Watumie ss Helicopter maana ilishindikana kuendelea na parade la Ubingwa.
Vamoooooooooos [emoji1033]
View attachment 2453504
Watajua hawajuiKesho munapakatwa na wale kuku