Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna mfumo wa hovyo na ovuHii maana yake ni maandalizi ya kushinda kura kwa goli la mkono, yaani kinyume na matakwa ya wapiga kura.
Mtu kama huyu mwenye damu isiyo na hatia mikononi mwake hakustahili kuwa bado kwenye ofisi ya umma