daaaaa kimegeuka
daaaaa kimegeuka
kajifunga duh!
Washabiki wa Arsenal mpira dakika 90 tafadhalini eeh?
ni bahati mbaya lkn siyo kwamba ilikuwa lazima ajifunge..Pale ilikuwa ni lazima hakuwa na namna
Man U 2- Arsenal 1
Arsenal kama vile tunapoteana vile..
babatov hivi ni mchezaji wa kimataifa kweli au kaamua kutubeba Arsenal
kwanini MvinaNg'ombe wa masikini hazani ...