Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa kwa Spurs ni shughuli leo hehehe.....ila hawa watoto uwa tunakawaida ya kuwavurugia parade yao. Ngoma wiki ijayo kwenye derby.

wafungeni bana, ...sasa nawashangilia MAN U mpka baada ya dkk 90...
 
BJ.... ha ha ha, umeadimika sana...
ahsante nishapoa. Game mbili Manchester zimeisha vibaya...
kipigo cha leo hakijaniuma sana kama mlivyotudhulumu siku ile...😀

Ta!

Nipo Mkuu sema nimetingwa flani lakini jf kuchungulia muhimu, ha ha
Kwakweli, mliumia Man walivyowafunga siku ile tena sana tu..Bora wewe umeshapoa na kipigo cha M.City, naona Spurs wameshakarabati goli moja dhidi yetu mpaka sasa.huh!!..Enjoy PL
 
Mkuu Mbu na wapenzi wa Arsenal poleni sana kwa kweli. Hii ni AIBU. yani humiliation kabisa!

LAkini hebu niambieni ni kwa nini Adebayor alikuwa anachukiwa hapo imarati? kwa nini mashabiki wakawa hawampendi hadi ikabidi auzwe si kwa kupenda fedha ila 'hali ya hewa kuchafuka'?

sasa mnaona mambo amewafanyia? man of the match, kapiga bao, kaokoa goli la wazi, afu kampiga buti van persie...

Sijui lakini naona Boss Wenger ana kazi ya kufanya....
 
Nipo Mkuu sema nimetingwa flani lakini jf kuchungulia muhimu, ha ha
Kwakweli, mliumia Man walivyowafunga siku ile tena sana tu..Bora wewe umeshapoa na kipigo cha M.City, naona Spurs wameshakarabati goli moja dhidi yetu mpaka sasa.huh!!..Enjoy PL

mambo Belly! Kumbe upo Man U! naona kweli kagoli kamoja tayari lakini bado mapema,

hwa arsenal hawajajua mtoto hatumwi dukani?
 
..



...samahani mkuu Arsene Wenger wa JF, namaanisha ARSENE WENGER (mfaransa) wa Arsenal...



......
ha ha ha mkuu bila samahani mie niliongea kama mshabiki kwamba siwezi kulalamikia majeruhi leo kwani sisi ndio tulipoteza focus.
 
Ushangiliaji wa Abedayo ulikuwa wa aina yake kwa mashabiki wa Arsenal!
 
Ushangiliaji wa Abedayo ulikuwa wa aina yake kwa mashabiki wa Arsenal!


Kiongozi simlaumu ukichukulia pre-match issues kumhusu! hao arsenal wanamchukia kama nini sijajua ni kwa nini ndo nimeomba ufafanuzi apo. kadi ya njano sawa lakini 'kawaonyesha'
 
asante sana mkuu.adebayor alichokuwa anachukiwa imarati ni kuto jituma ,sasa ni vizuri alivyo hama inaweza kumsaidia kwenye kipaji chake kuliko angebaki arsenal na kuendeleza uzembe.alivyokuwa arsenal hakuwa na kitu cha kuprove ,sasa hivi inabidi hawa prove critics wake ambao mimi mmoja wapo kwamba we are wrong.na bado simkubali .
 
asante sana mkuu.adebayor alichokuwa anachukiwa imarati ni kuto jituma ,sasa ni vizuri alivyo hama inaweza kumsaidia kwenye kipaji chake kuliko angebaki arsenal na kuendeleza uzembe.alivyokuwa arsenal hakuwa na kitu cha kuprove ,sasa hivi inabidi hawa prove critics wake ambao mimi mmoja wapo kwamba we are wrong.na bado simkubali .
 

Mashabiki wa Arsenal kukosa shukrani tu. Mbona aliwafungia magoli 46 kwa misimu mitatu (sehemu ya hicho kipindi alikuwa majeruhi). Halafu alikuwa anajituma kweli kweli.
 
Mashabiki wa Arsenal kukosa shukrani tu. Mbona aliwafungia magoli 46 kwa misimu mitatu (sehemu ya hicho kipindi alikuwa majeruhi). Halafu alikuwa anajituma kweli kweli.

Mnyonye mnyongeni ila haki yake apewe!
 
Ushangiliaji wa Abedayo ulikuwa wa aina yake kwa mashabiki wa Arsenal!

...mpwa umetukamia lakini kidogo kidooogo wenzio tunaanza kuzoea 'uteja', au sio wenzangu? ngoma mje mfungwe nyie...usijekimbia tu kama Iniesta alivyowafanya 🙂
 
...mpwa umetukamia lakini kidogo kidooogo wenzio tunaanza kuzoea 'uteja', au sio wenzangu? ngoma mje mfungwe nyie...usijekimbia tu kama Iniesta alivyowafanya 🙂

Leo tumenusurika ! Well, hatuwezi shinda mechi zote ipo siku tutawaachia watani...
 
Niliwaambia washabiki wa Arsenal na ChelseA kuwa Ade na Drogba ni watu adimu watu wakabisha. Sasa wenye akili zao Chelsea wamembakisha Drogba, ila huyu Mr. Bean ameonelea ni vyema kumlipa pauni 80,000 kwa wiki van Persie badala ya Ade, sasa ndio hivyo huu msimu ni wa mwisho kwa Fabregas, na Spurs, Aston Villa & Man City can not wait to kick your A$$ out of top four..he he he..Champions league mtaisikia kwenye bomba tu!
 
mambo Belly! Kumbe upo Man U! naona kweli kagoli kamoja tayari lakini bado mapema,

hwa arsenal hawajajua mtoto hatumwi dukani?

Safi tu Kaizer, mzima wewe?!..Yes, mimi ni Man Utd fan mkuu ila naona wewe bado sijakusoma ni ARS nini?!..
Si umeona mechi imeisha tumeondoka na ushindi kama alivyotabiri Eqlypz..
 

...Adebayor kachezea Arsenal misimu mingapi na kashinda vikombe vingapi bana? hata angebakia Arsenal angekuwa vile vile tu,... analipa hela ya muarabu tu huyo... mpe msimu mmoja uone maudhi yake!
 
Safi tu Kaizer, mzima wewe?!..Yes, mimi ni Man Utd fan mkuu ila naona wewe bado sijakusoma ni ARS nini?!..
Si umeona mechi imeisha tumeondoka na ushindi kama alivyotabiri Eqlypz..

No PM please! salam za hapa hapa KiJF JF....na Kaizer
 
No PM please! salam za hapa hapa KiJF JF....na Kaizer

...ha ha ha....

Back to the issue, kumbe Djourou ndio mpaka mwisho wa msimu, hii team kwa majeruhi ni balaa...

 
Msimu huu umeanza vibaya....uamuzi not on ur side (mechi na Man U) ....majeruhi....Arshavin angewasaidia sana msimu huu walau mbaki kwenye big five! Maana Ubingwa mhhhhh ....Gallas naye haajaanza kuumia
 
Msimu huu umeanza vibaya....uamuzi not on ur side (mechi na Man U) ....majeruhi....Arshavin angewasaidia sana msimu huu walau mbaki kwenye big five! Maana Ubingwa mhhhhh ....Gallas naye haajaanza kuumia

we acha tu, angalau mechi zifuatazo hazitakuwa ngumu sana;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…