Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
naona sendorous anarudi kuchukua nafasi ya djourou.jamaa sijui wamegombana nini na wenger mpaka kumlazimisha kuondoka sema sasa hivi naona tunamuhitaji zaidi.theo walcott nae anaweza kurudi weekend hii kuja kuongeza nguvu manake dogo anatuoga sana na speed zake.