Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
...Ade aligusa 'Raw nerve',...unadhani Arsenal ingeshinda siku ile angefungiwa? ...hawa FA nao wana double standards tu...
yule spoilt brat wa Manure aka Rooney kila siku anakituko kipya uwanjani, kwakuwa ni kipenzi cha SAF na England haguswi...!
Ohoo umemgusia Rooney? wasubiri akina Belo sasa huyu huwa haguswi, hana baya.