Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio hapoo i tell washika bunduki kila msimu..huwa wanaanza kwa kasi ya ajabu...sijui ni nguvu ya nini maana sio ya soda anymo...ila as msimu uendavyo..presha,bp tupu!sasa hebu ona jana wamefungwa hadi na stoke city???
uwaambiaye next matches washinde hivi una habari kuwa next wana cheza na man utd ambao nw tayari ni wa tatu with a game in hand?tena bila van pussy na mayb mwanariadha theodora walkotiiii??
Poleni ndugu zangu wa Ze Gunnaz?, naomba mnifanyiebooking Emirates stadium siti ya mbeleee kabisa karibu na anapokaa AW..!, i want to enjor his 'gestures' jmoci ijayo.!.
Timu ya kutishia watu wazima nyau iko wapi mkuu....Usitukane wakunga uzazi ungalipo..usije mkatungishwa mimba mkaja hapa kutulilia..
leo hawa waturuki lazima wachezee kichapo hevi kwani leo tunafanya mazoezi kwa ajili ya game la jumamosi na man utd
tusikatishwe tamaa na matokeo yaliyopita cha msingi ni kuangalia game za mbeleni
Haya............kamoja tayari!! Nasri. Mpooo?
Bao moja shtimu ... lakinu si unajua safari bado ndefu...!