Arsenal (The Gunners) | Special Thread

...bora Eboue aingie Walcott apumzike sasa,...arrgghhhh!
 
DAK YA 85 BADO MOJa moja heri yenu maana leo dah tunashughuli pevu pale vingunguti
 
...mnh, mambo magumu!!!!!!!!!!
 
washabiki wa arsenal inaonekana mnachonga sana ngenga kama wa simba.......

......kule man u mbona kimya?
 
washabiki wa arsenal inaonekana mnachonga sana ngenga kama wa simba.......

......kule man u mbona kimya?

...mambo yao magumu kule,...

2-2 sio nzuri!
 
.............pheeeeeeeeeeeeeeeewwwwwwwwwww! heri umekwisha!
 
washabiki wa arsenal inaonekana mnachonga sana ngenga kama wa simba.......

......kule man u mbona kimya?

arsenal wazee wa burudani ya kandanda uwanjani,vijana wanavutia kuwacheki..
man utd wametoka 2-2. soma pm yako!
 
Game draw kwa arsenal advantage kwa away goal dah CL imekuwa tamuu na chungu kwelii
 
...mambo yao magumu kule,...

2-2 sio nzuri!
hapo sawa maana nawao wakishinda wanakujaga na vi deo vyao vya kutengeneza youtube basi karaha humu.....

Jason kid kacheza leo arsenal?
 
hapo sawa maana nawao wakishinda wanakujaga na vi deo vyao vya kutengeneza youtube basi karaha humu.....

Jason kid kacheza leo arsenal?

dawa ni kuvunja hiyo record ya porto ya kutokufungwa kwao na timu za uingereza; na kila kitu kina mwanzo; mwaka huu ndio wataanza kufungwa kwao-
tuko pamoja!
 
Hawa Villareal tutawachinja wakitia mguu Emirates, hope RVP na Eduardo watakuwa fit ili pale mbele tucheze na mastriker wawili wa kuaminika. Naskia Gallas atakuwa out for the rest of the season! Bring on Porto, go on you gunners!
 
Hawa Villareal tutawachinja wakitia mguu Emirates, hope RVP na Eduardo watakuwa fit ili pale mbele tucheze na mastriker wawili wa kuaminika. Naskia Gallas atakuwa out for the rest of the season! Bring on Porto, go on you gunners!

jana ilikuwa (defensively formation) 3-5-1 ....ade alikuwa ana haha peke yake kule mbele. Wakija Imarati, huenda vijana wakacheza 4-4-2 , RVP na Ade pamoja pale mbele kwa uhakika wa magoli zaidi.

Gallas mzoefu, lakini Djourou anaziba vizuri hilo pengo, tunamhitaji apate uzoefu games kama hizi!
 
wajameni eeeh! TUMEZIDIWA!

Possession statistics
Villareal 54%
Arsenal 46%

Mkubwa naona jana lile draft yenu lilipotea naamini mtapita maana hao jamaa wanacheza kama nyie wanataka pasi mpaka golini
 
Wajameni all in all, vijana walijitahidi and got fair results kwa kweli! Ndugu zetu Man U mkono wa Mungu wao ulikuwa mrefu sana jana re. bao la Rooney!
 
Mkubwa naona jana lile draft yenu lilipotea naamini mtapita maana hao jamaa wanacheza kama nyie wanataka pasi mpaka golini

...dah, wala usinikumbushe, kipindi cha kwanza walitufunika kabisaaaaaaaa...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…