Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona watoto wa Mr. Bean ngoma imekuwa nzito kidogo. Hivi ni kigezo gani Mr.Bean amekitumia kumuweka Arshavin benchi? Mr. Bean wakati mwengine huwa anajifanya Newton au Einstein flani hivi kumbe hamna kitu..buuuuyuuu!

Sasa ndo hivyo msimu tasa mwengine ndio huo unajifunua..poleni the blankers!
 
Nijuavyo arsenal hawaweki nguvu zao kwenye makombe yasio na kichwa na miguu kama hili la bati FA
Misimu karibu mitatu mmetoka kapa ,sizitaki mbichi hizi
Nyie ni wasindikizaji wazuri na hiyo nafasi ya 4 bado mnaweza ipoteza
 
....mashaka tu! breaking news; Adebayor na Robin Van Persie out of Arsenal squad to meet Liverpool tomorrow... ndio kusema? Bendtner na Eduardo... Arshavin, Vela na Walcott also available.
 
..tell 'em YO YO tell em!!!

...hatulitaki hilo, kwanza tushatwaa makombe yoooote hayo isipokuwa la Champions league, tumewapa ushindi machokoraa wa darajani ili nao wajisikie, 1947 zamani ati!!!!!!!!

Mbu acha hizo wewe!Chelsea mara ya mwisho kombe wamechukua 2007,wakati Arsenal mara ya mwisho wamechukua 2005.kama hamlitaki hilo msimu huu mnaondoka tena patupu.
 
....mashaka tu! breaking news; Adebayor na Robin Van Persie out of Arsenal squad to meet Liverpool tomorrow... ndio kusema? Bendtner na Eduardo... Arshavin, Vela na Walcott also available.
Tunawaombea mpate droo ingawa mkishinda itakuwa vizuri kwetu but mtapiga kelele mno
 
kESHO IS A DAY YA MIXED FEELINGS

CHELSEA NA MANURE WANASALI ARSE** MTUFUNGE; LAKINI MKITUFUMA MJUE MMEWAPA MANURE UBINGWA... Habari ya Van Pussie na Adebola ni njema kwetu

Robin Van Persie and Emmanuel Adebayor have been ruled out of Arsenal's game against Liverpool on Tuesday night. Both were substituted at the weekend against Chelsea with Adebayor suffering a hamstring injury and Van Persie struggling with a groin problem.

No malice!!!!
 
kESHO IS A DAY YA MIXED FEELINGS

CHELSEA NA MANURE WANASALI ARSE** MTUFUNGE; LAKINI MKITUFUMA MJUE MMEWAPA MANURE UBINGWA... Habari ya Van Pussie na Adebola ni njema kwetu

Robin Van Persie and Emmanuel Adebayor have been ruled out of Arsenal's game against Liverpool on Tuesday night. Both were substituted at the weekend against Chelsea with Adebayor suffering a hamstring injury and Van Persie struggling with a groin problem.

No malice!!!!

MTM,
Sidhani kama Chelsea wanadhani wana-shot ya title. Nina uhakika timu karibu zote za premier zina-wish Liver wachukua kombe. Sio kwamba Liver inapendwa na timu nyingine, la hasha! Ni kwa sababu tu Manu kuchukua tena kutaashiria jinsi gani walivyo untouchable (kitu ambacho top 4 timu zinapinga kwa dhati). Kwa hiyo Chelsea wana-cross fingers Liver ishinde kesho..

Isitoshe, kwa performance waliyo-put Liver this season (ukiondoa Jan & Feb), wanastahili lile kombe kwa kweli.
 
Mbu poleni kwa kipigo cha weekend toka kwa Chelsea!..

...Belinda nawe mchokoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! tushasahau wenzio wewe unatukumbusha msiba, aaarrggghhh 🙁

Mbu acha hizo wewe!Chelsea mara ya mwisho kombe wamechukua 2007,wakati Arsenal mara ya mwisho wamechukua 2005.kama hamlitaki hilo msimu huu mnaondoka tena patupu.

...mnh, kumbee eeh? aah, lishatuponyoka!

Tunawaombea mpate droo ingawa mkishinda itakuwa vizuri kwetu but mtapiga kelele mno

...aaarrrghh, dua yako ishaingia mushkeli hapo!

kESHO IS A DAY YA MIXED FEELINGS

CHELSEA NA MANURE WANASALI ARSE** MTUFUNGE; LAKINI MKITUFUMA MJUE MMEWAPA MANURE UBINGWA...

...sasa mnaleta mambo ya 'ukinipiga unanionea, ukiniacha unaniogopa!' 🙁 ...tufanyeje mridhike ?
 
Kwa mara ya kwanza nawatakia Asenali ushindi mnono.....🙂.
Hata mkipiga kelele (kama kawaida yenu) nitavumilia kwa leo.
 
Sidhani kama Arsenal itashinda leo maana inabidi tukumbuke kwamba Man Utd tunacheza nao mara 2 kwenye UEFA kwa wiki chache zijazo na kama tukishinda leo inamaana Utd watakuwa hawana pressure and they can manage to rest some of their key players. I would prefer us to loose today and beat Man Utd to reach the finals rather than to win today and loose to Man Utd, allowing them to do what they did last season!
 
Hivi mnataka kuniambia sisi washabiki wa Arsenal ndio wenye kelele kuwashinda wa Man U? sidhani, au kwenye thread hii tu? nawajua ManU kwa kuchonga.
 
Hivi mnataka kuniambia sisi washabiki wa Arsenal ndio wenye kelele kuwashinda wa Man U? sidhani, au kwenye thread hii tu? nawajua ManU kwa kuchonga.

...ha ha haaa... washabiki wa ManU game ya leo wanaikodolea game ya leo kwa macho ya kwanini! Hivi mkoje nyie?...😀

Naona Arsene Wenger kaamua kuwaongezea (ManU) maumivu leo... cheki team aliyoipanga;

Fabianski, Sagna, Toure, Silvestre, Gibbs, Nasri, Song, Denilson, Fabregas, Arshavin, Bendtner ...4-5-1 formation

Liverpool mshindwe nyie tu tena hapo 🙂
 
...ha ha haaa... washabiki wa ManU game ya leo wanaikodolea game ya leo kwa macho ya kwanini! Hivi mkoje nyie?...😀

Naona Arsene Wenger kaamua kuwaongezea (ManU) maumivu leo... cheki team aliyoipanga;

Fabianski, Sagna, Toure, Silvestre, Gibbs, Nasri, Song, Denilson, Fabregas, Arshavin, Bendtner ...4-5-1 formation

Liverpool mshindwe nyie tu tena hapo 🙂

Kwa jinsi AW asivyopenda mind games za AF, yuko tayari auze mechi ya leo. kimsingi Arsenal wameshajihakikishia angalau nafasi ya nne. focus yao iko kwenye kombe la ulaya. Kwa hiyo hakuna cha kupoteza leo.
 
Sidhani kama Arsenal itashinda leo maana inabidi tukumbuke kwamba Man Utd tunacheza nao mara 2 kwenye UEFA kwa wiki chache zijazo na kama tukishinda leo inamaana Utd watakuwa hawana pressure and they can manage to rest some of their key players. I would prefer us to loose today and beat Man Utd to reach the finals rather than to win today and loose to Man Utd, allowing them to do what they did last season!

Kwa jinsi AW asivyopenda mind games za AF, yuko tayari auze mechi ya leo. kimsingi Arsenal wameshajihakikishia angalau nafasi ya nne. focus yao iko kwenye kombe la ulaya. Kwa hiyo hakuna cha kupoteza leo.

duhh! mnaiogopa Liver kiasi hiki? sisi tuliwafunga Aston Villa ili mjihakikishie nafasi ya nne, sasa leo ni siku yenu ya kulipa fadhila. Vinginevyo mtatalewa CL na mechi ijayo ya EPL tutawapiga. Watch out your steps!
 
Back
Top Bottom