Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ARSHAVIN leo ndio katuthibitishia kwamba SARSENE WENGER ni mbahatishaji!

Kwanini hakumpanga na CHELSEA????????????????????????????????? 😡
 
At the end haipendezi siku Arshavin alipofunga 4 haikutosha kushinda mechi, nadhani Wenger anaregret kutompanga na Chelsea!
 
Asante Arsenal japo hamjalipa fadhila vizuri kwa hiyo mechi zetu zote mtapata vipigo vidogo. Sasa nafasi ya Man U kutesa.
 
Asante Arsenal japo hamjalipa fadhila vizuri kwa hiyo mechi zetu zote mtapata vipigo vidogo. Sasa nafasi ya Man U kutesa.

Utajutia hayo maneno, usiwe mbali siku hizo zote!!!, maana naona tuna mechi tatu na ninyi!!
 
Soccer siku hizi hakuna tofauti na netball!
Vijana wa gunners mmejitahidi, lakini mlichoka ... mkiambiwa 30 extra kwenye UCL mmekwisha! Inabidi mmalize mechi ki-Tyson, 1st round.
 
At the end haipendezi siku Arshavin alipofunga 4 haikutosha kushinda mechi, nadhani Wenger anaregret kutompanga na Chelsea!


...exactly! Arsene Wenger got it all wrong for the past three seasons...! alianza kulikoroga tangu siku ile May 21st 2006, alipomchezesha Cash'ley Cole badala ya Clichy na alipomtoa Pires (kwenye fainali ya Champions League).

Tangu wakati huo amekuwa LOSER!...

Jumatano tuombe mungu tu na ManU. Defence yetu ndio hiyo tena,...matobo kila mahala, ...!
 
duh huyo golikipa wa Arsenal amenikumbusha mambo ya James Kisaka wa Simba. Wenger inabidi atafute golikipa mwingine zaidi...
 
He gets it wrong sometimes!!!! Lakini usiwe na hofu na Man, hata kwa speed ya leo, Man asingeiweza, they are peaking downwards!!
 
Mbu ina maana goli zote kafunga Mrussi Arshavin leo!!..huh!..kafanya karamu leo!..Naona kama mlitaka draw au mfungwe ili man utd wasichukue pl kwa kuachia goli la mwisho (kidding)
 
Last edited:
Hongera Arsenal ... kweli leo mmejitahidi, lakini kushindwa kulinda goli la mwisho, duh mmetukata maini wana Man ingawa bado tuko juu!
 
Hongera Arsenal ... kweli leo mmejitahidi, lakini kushindwa kulinda goli la mwisho, duh mmetukata maini wana Man ingawa bado tuko juu!


Saikosisi,

Hizi zaweza kuwa salamu zenu jumatano!!
 
Hongera Arsenal ... kweli leo mmejitahidi, lakini kushindwa kulinda goli la mwisho, duh mmetukata maini wana Man ingawa bado tuko juu!

Tumewabeba kidogo hivyo bado mko kileleni mnapeta.
 
Aaaaah kharaha tupu.... mimi ushabiki wa mpira wa miguu sasa basi. Hii micehzaji ya Liverpool inajenga kibanda lango la upinzani na kusahau kulinda nyumba yao. Tulipaswa kushinda hii mechi
 
Mbu ina maana goli zote kafunga Mrussi Ashravin leo!!..huh!..kafanya karamu leo!..Naona kama mlitaka draw au mfungwe ili man utd wasichukue pl (kidding)


......arrrggh, we acha tu bibie,... Game ya leo wala sikujipa tamaa kwani najua defence iliyopo sasa ni uchochoro mtupu... kwanini nijiudhi bure?

Anyway, Arshavin kafanya kweli leo kumuadhirisha Arsene Wenger kutompanga mechi na Chelsea... inauma kweli lakini ndio hivyo tena...

Man U bado mmeshikilia usukani, mshindwe wenyewe!
 
post 1000 kwenye jukwaa la Arsenal,...mnh tupo juu!!!!!!!!!!
 
BAK, yani kama golikipa na mabeki wetu angegangamara hawa jamaa leo wangeumia.

Ni kweli kabisa, tungejichukulia points 3 bila matatizo yoyote. Huyu Nyanda hastahili kabisa kurudi kwenye timu msimu ujao
 
ANDREY ARSHAVIN scored an incredible FOUR goals - but Liverpool somehow stole a point at Anfield.


Arsenal's Russian star shone in a topsy-turvy match with the Reds coming back from the brink.


Fernando Torres and Yossi Benayoun both grabbed two goals for Liverpool.


javascript:


Midfielder Benayoun netted in the THIRD minute of added time to fire his side level on points with Manchester United at the top of the Premier League.


Liverpool had dominated the first half but were denied by some spectacular saves by Arsenal keeper Lukasz Fabianski.

Arshavin fired the Gunners ahead in the 36th minute after Javier Mascherano's error.

The Argie ace's sloppy pass led to Cesc Fabregas finding Arshavin, who blasted in off the bar.


But the Reds came out fighting after the break with Torres' header levelling things up.

Benayoun struck soon after to give Rafa Benitez's side the lead, although he took a wack on the head in the process.

The Israeli was congratulated as he lay on the floor in agony after being kicked in the face by Bacary Sagna.


But Arshavin blew away Liverpool with a stunning three-minute double to hand the advantage back to the Gunners.


That was until Torres banged in his second of the night on 72 minutes.

Albert Riera crossed from the left and the striker controlled superbly before firing home.


Nicklas Bendtner could have stolen a fourth for Arsenal when he beat Pepe Reina but his effort was ruled out for offside.


Theo Walcott came off the bench and set up Arshavin for the fourth with just seconds left of normal time.


And in added time Benayoun grabbed the equaliser before Fabregas was denied the winner by a late offside flag.

Source:http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/article2388310.ece
 
Back
Top Bottom