Partey ni mtu na nusu, ananikumbusha enzi zangu nikicheza namba 6.Siku hizi Partey ananifurahishaaa, goli lilikuwa lake hili.
Hapa anasema Partey siyo namba 6.Partey sio namba 6, hajawahi kuwa namba 6, ni kiburi cha Mikel tu kuforce vitu visivyowezekana but i thank God Arteta karudi kwenye basics, Guardiola hawezi mchezesha Partey namba 6 kamwe, Arsenal tutachukua EPL / UCL huku Declan Rice akiwa namba sita afu nitakukumbusha hizi comment zako.
Hapa anasema anakua na confidence Partey akiwa namba 6Hii ndiyo timu inayonipa confidence dhidi ya mpinzani yoyote, Partey at #6, Rice & Martin odegaard, 4CBs white, Saliba, Gabriel & Timber, 3 Attackers- Saka, Martinelli & havertz, that's my dream team
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hapa anasema Partey siyo namba 6.
Hapa anasema anakua na confidence Partey akiwa namba 6
Punda kabisaBeki mjinga sana huyu..KENGE nyie