makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Umenikumbusha mbali saana, nahisi ubishi ulianzia kwangu, kwakuwa mie sipendi pendi ligi nikaamua nivunge tu ๐คฃ๐Hahaha ni Will Jr
Alisema anabahatisha. Nahisi umehisi ni mimi coz niliwahi argue naye juu ya hilo na ikawa points nyingi za kumpinga anatoa kwenye page nonewith
Sare!!!!!? Sare haiwezekani, kitambaa hakitoshi ๐คฃ๐Brentford tunazingua sana aisee, Ngoja tupambanie ht sare tuu ๐ญ
Sub nzuriIn response Arteta anafanya sub tatu
Anaingia Rice, Trossard na Myles. Anatoka Merino, Calafiori na Nwaneri
Mnacheza na nani mechi ijayoBrentford tunazingua sana aisee, Ngoja tupambanie ht sare tuu ๐ญ
Tutacheza na SouthamptonMnacheza na nani mechi ijayo
๐๐๐๐๐ cash money nafurahi sana hivi unavyotaka uongezewe hela kwa wachezaji wa chelsea๐STERLING ana matatizo ya kiufundi, soon mtaona moto wake. Wazee tuongezeni angalau pesa kidogo kwa Sterling mashine ya kazi. Acheni ubahili basi
Arsenal ipi hii ya sasa?? mmh!!! ila sishangai maana false hopers suala la kuamini kwenu ni suala mtambuka๐.Arsenal ni timu ambayo inaaanza kufungwa na unaamini itashinda
Umeandika maelezo marefu ila haujasema kama baada ya kutangulia kufungwa leo Arsenal imeshinda au imefungwaArsenal ipi hii ya sasa?? mmh!!! ila sishangai maana false hopers suala la kuamini kwenu ni suala mtambuka๐.
The last time nilikua false hoper ile ndo ilikua arsenal mazee ivi kombe mlikosa vipi nyinyi daah!
Yaani arsenal ilikua inatisha mpaka Christmas watu wote wakakubali acha false hope ichukue kombe maana mpira ulikua unapigwa hatari yule zinchenko kama sijui inverted nini vile ๐, jesus yupo moto.
Gemu na Bournemouth , man utd uwanja ulikua umeinama mpira unapigwa haswa mwanangu bukayo ananitesea luke shaw .
Mwisho wa siku ikawa false hope nikaona hapana inatosha hizi false hope for 20 years zimezidi.
Arsenal ya sasa mmepoa sana kuanzia wachezaji mpaka mashabiki๐๐๐๐ yaani mpaka hamis kakacha unafanya mchezo.
Castr ukimwambia Arsenal bingwa lazima akukatae saivi, zincheko mmepeleka wapi na lile ball lenu la inverted midfielder mzee .
Leo nimeangalia mpira wenu naona mnarukaruka tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ya miaka 2 iliyopita hata kucomment humu ilikua ni marufuku mpaka uonyeshe kwanza cheti chako cha ukocha, na wengine wakapiga mpaka marufuku wasikotiwe.Arsenal ipi hii ya sasa?? mmh!!! ila sishangai maana false hopers suala la kuamini kwenu ni suala mtambuka[emoji23].
The last time nilikua false hoper ile ndo ilikua arsenal mazee ivi kombe mlikosa vipi nyinyi daah!
Yaani arsenal ilikua inatisha mpaka Christmas watu wote wakakubali acha false hope ichukue kombe maana mpira ulikua unapigwa hatari yule zinchenko kama sijui inverted nini vile [emoji38], jesus yupo moto.
Gemu na Bournemouth , man utd uwanja ulikua umeinama mpira unapigwa haswa mwanangu bukayo ananitesea luke shaw .
Mwisho wa siku ikawa false hope nikaona hapana inatosha hizi false hope for 20 years zimezidi.
Arsenal ya sasa mmepoa sana kuanzia wachezaji mpaka mashabiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mpaka hamis kakacha unafanya mchezo.
Castr ukimwambia Arsenal bingwa lazima akukatae saivi, zincheko mmepeleka wapi na lile ball lenu la inverted midfielder mzee .
Leo nimeangalia mpira wenu naona mnarukaruka tu
Mimi nilikuwa nafurahia tu goli la kwanza EPL mwaka 2025 na nikafurahi zaidi kuona goli hilo amefungwa aseno'Unaweza ukahatewatch baadhi ya timu na ukapata unachotaka. Ukaona makosa, udhaifu na hatimaye timu inafungwa.
Ukihatewatch Arsenal ukitarajia uone makosa na ifungwe unajichosha tu. Muda wa kufanya hivyo ungelala uwahi kuamka kesho yake. Kuna wengine hua Arsenal ikitanguliwa wanashindwa kujizuia wanapost matokeo haraka mfano ARV wengine hua wanasubiri mechi iishe ndiyo wanakuja kuandika historia.
Unlike Manchester United, Newcastle, ambazo unaweza predict hata siku nne kabla kwamba zitafungwa na zikafungwa kweli. Kwa Arsenal wanaprefer kufanya ubashiri huku mechi inaendelea.
Niliwahi sema Arsenal ikisuluhu ni jambo la ajabu na ushindi kwa wengi kwakua hiyo ndiyo standard. Hata mashabiki tunakasirika tukisuluhu. Sasa wamejua kwamba watakua hawaingii huu uzi kama watasubiri tusuluhu au tufungwe so wanaingia tu hivyohivyo, wanaandika kitu kilichowafurahisha wanaondoka.