Nachofurahia false hopers mkipigwa akili zinawakaa sawa kama dakika 10 then mnarudi kwenye hali yenu ya ufalse hope.
Mlivyoshinda na brentford tuliwaambia mmeshinda kwa papatupapatu mkaona hatuwapendi unaona kabisa magoli yanatokea tu no chance created game kama 5 tuliwaambia ila mkaona kama tunawachukia .
Mpaka sasa st james tuliwapiga 1:0 , emirates tumewapiga 2:0 mnakuja tena st james tunawapiga 3:0 then tunarudi ligi Emirates tunawapiga 4:0 .
Kuna kipindi niliwaambia pale arsenal hakuna mchezaji kama gordon tu ukiachana na kina bruno na isak mkaanza kumfananisha martineli na gordon [emoji23][emoji23] mara trossard mpaka stats tukaleta hapa .
Ivi mbona zamani mlikua mnapiga mpira na mwanangu zincheko kama inverted midfielder ile mbinu yenu mmeacha nini? Naona mmeamia kwenye cΓ³rner na kila team ishashtuka .