Mtoano haunq pointsUshindwe kumfunga Newcastle nyumbani kwenu utegemee utamfunga kwake?
Leo akishajihakikishia points zake 3 huko St. James' Park atakua anatafuta draw tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoano haunq pointsUshindwe kumfunga Newcastle nyumbani kwenu utegemee utamfunga kwake?
Leo akishajihakikishia points zake 3 huko St. James' Park atakua anatafuta draw tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmeshindwa kufunga hata goli moja nyumbani kwenu halafu unaamini kabisa kua utaenda kumfunga Newcastle zaidi ya goli 3 St. James' Park?Kuna watu hawajui kama hii game ina two legs?
sioni tuki mpiga Newcastle kwake 3-0Kuna watu hawajui kama hii game ina two legs?
UNasema kweli mkuu...?😂Changes ndogo sana
Newcastle atakufa tu, hakuna namna
Mtu wa hovyo mwingine huyuChanges ndogo sana
Newcastle atakufa tu, hakuna namna
Kuna watu hawajui kama hii game ina two legs?
Sasa hawa mijusi akina Labyrinth wanatupiga kwetu, kwao tutawaweza kweli?
Huyu pimbi nae aondoke kwakweliView attachment 3195462
Tukumbushane tu msimu wa 6 huu miaka 5 without trophy ….. Trust phase and process[emoji23][emoji23]
Hamna timu mle.Uwezo wa timu hii kushindania makombe unatia shaka
Kocha mjinga mjinga yule.Bado kidogo, tutaanza kuhoji uwezo wa kocha
😂😂😂😂Kocha wenu anachekesha sana, anasema mpira ulikuwa mwepesi ndio maana kila wakipiga unapaa