Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na hizi misses zote bado wapuuzi wanakuambia hakuna haja ya striker
Bro tatizo la Arsenal ni zaidi ya Striker. Of course tunahitaji Striker lakini Nafikiri ni mentality zaidi. Kukosa ubingwa muda mrefu Arsenal imewafanya kuwa na mentality ya uoga sana hasa kwenye mechi zilizo na pressure. Roho ya upambanaji hawana ni waoga wa mechi sana hasa timu ambazo hatuna historia nazo nzuri uwanjani. Ukweli ni kwamba wachezaji wetu hawajui kucheza mechi hasa zinazoamua mustakabali wa nafasi yao katika kutafuta ubingwa. Liverpool hao hapo hawana striker wa maana lakini unaona spirit ipo na hata ukiangalia kikosi Chao ni kawaida tu.. It's all about mentality.. Rodrigo hakukosea
 
Bro tatizo la Arsenal ni zaidi ya Striker. Of course tunahitaji Striker lakini Nafikiri ni mentality zaidi. Kukosa ubingwa muda mrefu Arsenal imewafanya kuwa na mentality ya uoga sana hasa kwenye mechi zilizo na pressure. Roho ya upambanaji hawana ni waoga wa mechi sana hasa timu ambazo hatuna historia nazo nzuri uwanjani. Ukweli ni kwamba wachezaji wetu hawajui kucheza mechi hasa zinazoamua mustakabali wa nafasi yao katika kutafuta ubingwa. Liverpool hao hapo hawana striker wa maana lakini unaona spirit ipo na hata ukiangalia kikosi Chao ni kawaida tu.. It's all about mentality.. Rodrigo hakukosea
Mentality yes.

Liver ina Jota. Nunez kama Kai so hatuhesabu ila wana wings zinascore, wana Mids zinascore.
 
Kuna mwaka fulani niliwahi sema we need someone ambaye akipata mpira timu nzima inajua kwamba huyu aliyeupata hua anaenda mbele tu hajui kurudi nyuma.

Nikasuggest mtu kama Renato Sanchez, akiwa pale kati akipata mpira mnaona anapepea kwenda mbele. By that time Xhaka was shitty yeye na Ramsey, and then hii ishu ikatibika.

Ikatupa ushindi kwa timu zinazohesabiwa ngumu. Sasa hivi balaa limeanza tena.
 
Back
Top Bottom