Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.
Huu ndio ujinga ambao siku zote huwa siukubali. Nakumbuka enzi zangu golini hizi penati nimecheza sana.

Unapochelewa na kushindana na kasi ya mpira una chansi kubwa ya kuicheza mipira hata kwa miguu.
 
This is United...KENGE nyie.
 

Attachments

  • Screenshot_20250112_205651_FotMob.jpg
    Screenshot_20250112_205651_FotMob.jpg
    80.1 KB · Views: 2
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Wewe ndio MJINGA wa mwisho kama sio wa kwanza.
Kampa Man U red card, Kakupa penalt ukakosa unataka akupe nini tena, matako!
 
Back
Top Bottom