Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana Mkuu ndio MaishaJ5 spurs
Nenda kafundishe wewe kama rahisiArteta alishinda FA akiwa na kikosi alichorithi kutoka kwa Emery.
Tangu akipangue na kupata kikosi chake hajawahi kuvuka raundi ya nne
Bob vipi? Cheza kwa step usimkanyage mwenzioNenda kafundishe wewe kama rahisi
Nenda kafundishe wewe kama rahisi sio kubwabwaja humuBob vipi? Cheza kwa step usimkanyage mwenzio
Nenda wewe ukapewe nafasi ya arteta sio unabwekabweka humuIlikua rahisi kustick around kwenye huu uzi early arrival ya Arteta kwakua deep down kila mtu alijua kwamba tupo hovyo so there is not much we can do.
It os very difficult kipindi hichi kwakua everything is out there for us to grab ila ni kutojua kupress advantage, poor mentality na spirit. Nimewahi sema Arteta anaogopa kusajili ili asihojiwe.
Asiposajili hata mashabiki mnagawanyika, kuna wataosema ila hajasajili. Ila akisajili kila mmoja atahoji.
Unaishi wapi?Nenda wewe ukapewe nafasi ya arteta sio unabwekabweka humu
Nenda kafundishe wewe maana naona unabwekabweka ovyo usiniulize maswali ya kishambaUnaishi wapi?
It sour? Isn't it?Ngoja niende online nitafute kazi ya kuspend nayo usiku. Nishashikwa na hasira.
2005 we are beating united to win FA cup via penalties
Ngoja niende online nitafute kazi ya kuspend nayo usiku. Nishashikwa na hasira.
FA out
Bado Carabao
UCL
Na ligi
Bro tatizo la Arsenal ni zaidi ya Striker. Of course tunahitaji Striker lakini Nafikiri ni mentality zaidi. Kukosa ubingwa muda mrefu Arsenal imewafanya kuwa na mentality ya uoga sana hasa kwenye mechi zilizo na pressure. Roho ya upambanaji hawana ni waoga wa mechi sana hasa timu ambazo hatuna historia nazo nzuri uwanjani. Ukweli ni kwamba wachezaji wetu hawajui kucheza mechi hasa zinazoamua mustakabali wa nafasi yao katika kutafuta ubingwa. Liverpool hao hapo hawana striker wa maana lakini unaona spirit ipo na hata ukiangalia kikosi Chao ni kawaida tu.. It's all about mentality.. Rodrigo hakukosea