HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,952
- 5,583
Nimejichanganya. Nilikuwa namfikiria Gyokeres na kuwa atataka kumfuata Amorim.Gyokeres na mreno mmoja jina limenitoka ndiyo niliona kahusishwa sana na nyumbu. Sesko niliona ni Arsenal tu
Sesko atatufaa? Angalau siyo Kai 😄😄