Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Makocha wangapi wamekuja kuijenga united? Unahisi nini kitakua tofauti kwa huyu anayetembea na nyinyi nafasi ya 12, 13 na 14?
Uongozi mpya mzee na kocha mpya
MIaka yote hiyo hatukuwahi kuwa playing style.
Nilichopenda kwa arteta ni ku stick to the plan
Ndicho anachofany amorim

Makocha wote hakuna hata mmoja alie stick na falsafa zake.
 
Anhaa sikua aware na hii ishu ya marekebisho.

Kama hizi ripoti zikiwa confirmed na ni za ukweli tutakua tumepiga hatua kwenye kurekebisha swala la finishing
Mimi kwangu angemchukua Duran jamaa ni goalmachine afu powerful hana mbwembwe afu miaka 21 mshahara bado mdogo
 
Uongozi mpya mzee na kocha mpya
MIaka yote hiyo hatukuwahi kuwa playing style.
Nilichopenda kwa arteta ni ku stick to the plan
Ndicho anachofany amorim

Makocha wote hakuna hata mmoja alie stick na falsafa zake.
Hapa unazungumzia kuanzia Van Gaal si ndiyo?
 
🚨🚨👀 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Benjamin Sesko’s agent Basanovic replies to ARSENAL LOAN reports!

“I don’t know from where does this story come but I have never talked with Arsenal about loan of Šeško”.

“Šeško is not a player for loans and this was never a topic with Arsenal or any other club”.

“Even if we’re aware of interest from several top clubs for long time, if you ask me if Šeško will move in January, I can only say, Šeško is RB Leipzig player and RB Leipzig is right adress for this kind of questions”, told Give Me Sport.
 
Usiwe unajumuisha.

Sema fulani ni kigeugeu. Mashabiki wa Arsenal hatujuani kila mtu ana tabia zake binafsi, kama umemuona kigeugeu, mpole, mwizi, mwema ni tabia ya huyo uliyemuona siyo ya Arsenal wote.

So, mtaje hapa ambaye aliwahi kumsifia Zubimendi halafu alivyoona amegoma kuja akaanza kusema vingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mashabiki wa Arsenyo ni kama Samaki tu, mmoja akioza basi tenga lote ni la kutupa.
Kiufupi wakati mnamponda huyo Zubeda baada ya kuwakataa hili zizi lilikua linachungwa na Masingeli, yaani Masingeli mmoja alikua anaswaga ng'ombe za zizi lote na hakuna ng'ombe yoyote mwenye jeuri ya kukataa, na ikitokea kuna ng'ombe moja imegoma itachezea mijeledi mpaka yenyewe itasalimu amri.
Ila liMasingeli lilikua linajua sana kuiswaga ming'ombe ya humu, yaani lilikua linauwezo wa kuiswaga ming'ombe kwenye moto na yenyewe ilikua inaenda tu pasi hata kusita ili hali inauona kabisa moto unawaka mbele yao.
Masingeli ile ni version ya kibongo ya mchungaji Joseph Kibwetere wa Uganda.
 
I think yeye na Jesus wanaweza partner up vizuri kwakua wote hawaogopi kulifuata box na wapo vizuri kwenye 1, 2.

So hata transition inakua rahisi wakiwa pamoja.

Obviously mbele ya Kai.

Sisi si huwa tunapenda central striker mmoja, awe na Saka na Martinelli pembeni na kina Ode nyuma yake? So utamuweka Sesko aanze halafu Jesus akae bench?
 
True but Timber alikaa LB and he was so good. Same na White akiwa RB.

Calafiori attitude yake ni risk. Akilearn kuiacha siyo mbaya, but when? With his attitude ukimuweka CB ghafla ghafla si anaweza kusababisha makosa.
So White karudi unajiuliza umuweke wapi Myles coz obviously Timber inabidi arudi LB.

After unabaki na Calafiori na Myles nani atampisha mwenzie? Tomiyasu akiwa fit pia unabaki na defense ambayo inaweza pata namba timu yoyote ambayo siyo regular starter kwako

Calafiori position ya LCB ndiyo imempa kazi Arsenal. Na yeye si huwa anapanda na kucarry kwa sana? Nadhani anafaa kwa timu zinazopaki basi ila anahitaji mtulivu kama Saliba awepo nyuma yake. Changamoto yake kubwa zaidi ya aggression yake ni kukosa mbio za kutosha kukimbizana na attackers wa EPL. Discipline ya ukabaji inafundishika na inakuja tu. Timber mwenyewe yuko aggressive sana ila aggression yake ina akili.

Ila kweli, Ben White akiwa fully fit na kwenye form, namuweka RB na Timber namuweka LB. Kwa sasa kwa kweli sitabadilisha back 4, yaani Timber RB na Lewis-Skelly LB huku katikati Gabi na Saliba kama kawa.

Lewis-Skelly ni midfielder (LCM nadhani) alijikuta LB kwa sababu ya majeruhi tulonao ila nadhani mpango ni akija Zubimendi, basi Zubimendi atakuwa anapambania nafasi ya Partey na Rice huku Lewis-Skelly akipambania LCM na Merino/Rice.
 
Sisi si huwa tunapenda central striker mmoja, awe na Saka na Martinelli pembeni na kina Ode nyuma yake? So utamuweka Sesko aanze halafu Jesus akae bench?
Kama ni kudumisha endency ya kutumia ST mmoja Sesko ataanza.
 
Calafiori position ya LCB ndiyo imempa kazi Arsenal. Na yeye si huwa anapanda na kucarry kwa sana? Nadhani anafaa kwa timu zinazopaki basi ila anahitaji mtulivu kama Saliba awepo nyuma yake. Changamoto yake kubwa zaidi ya aggression yake ni kukosa mbio za kutosha kukimbizana na attackers wa EPL. Discipline ya ukabaji inafundishika na inakuja tu. Timber mwenyewe yuko aggressive sana ila aggression yake ina akili.

Ila kweli, Ben White akiwa fully fit na kwenye form, namuweka RB na Timber namuweka LB. Kwa sasa kwa kweli sitabadilisha back 4, yaani Timber RB na Lewis-Skelly LB huku katikati Gabi na Saliba kama kawa.

Lewis-Skelly ni midfielder (LCM nadhani) alijikuta LB kwa sababu ya majeruhi tulonao ila nadhani mpango ni akija Zubimendi, basi Zubimendi atakuwa anapambania nafasi ya Partey na Rice huku Lewis-Skelly akipambania LCM na Merino/Rice.
Calafiori mzuri kucarry.

Ila utamuona all over the pitch attempting risk passes while pace yake kutrack back ni ishu.

Most CBs are so good kwenye standing na sliding tackles na kuanticipate direction ya move ya mpinzani. Instead Calafiori prefers to slide tackle ingawa hawi accurate nayo mara nyingi.

Tujionee
 
“We want to do it The Arsenal Way,” says
@ArsenalWFC
’s Renee Slegers in her first press commence as new permanent head coach after the club confirmed the appointment

Naona tumeamua kumpa mwanadada Renee kazi maana kwa kweli ametembeza vichapo kwa wapizani mpaka wakaita maji mma. Wanawake wetu sasa wako points 7 tu nyuma ya wababe (wamame?) vinara Chelsea na point moja tu nyuma ya wahuni/matapeli/wezi Manchester City Women.

Tuone atamalizaje msimu. Renee angekuwa na Miedema, Arsenal ingekuwa hatari fire.

1737129445861.png
 
Note: Hizi stats ni weighted...

xG iko mbele kule japo tumekosa wamaliziaji wazuri na tumeachwa mbali na Liverpool. Tukomae zaidi na umaliziaji Gunners.

Ila hatuko vibaya kwenya xG against, hapa tunaongoza kwa defense nzuri. Na cha ajabu tumefungwa vigoli vingi katika xG ndogo, yaani tuna bahati mbaya ya kukosa magoli marahisi, huku pia tuna bahati mbaya ya kufungwa magoli magumu ambayo kwa kawaida hayafungikagi...

Bahati nzuri kidogo ikitudondokea tutazidi kuwa tishio.
1737129994087.png
 
Back
Top Bottom