Shida ni kwamba tatizo letu hatuna attack ambayo itatubeba kwenda kwenye kombeKwenye game ya Liver na Wolves, jinsi Liver wanavyocheza hata kama wameshinda, utagundua Liver upepo umeanza kukata.
Game yao na Aston villa nikajua hawa wakijitahidi sana sare. Na kwa jinsi Man city anavyocheza sasa hivi hasa nilivyoona ile game yao na Newcastle, hapa Liver lazima afe.
Nilikuwa nimekata tamaa ya ubingwa, kumbe mbio bado kabisa, kimasihara masihara Arsenal anachukua kombe.
Shida yetu tunaweza angusha point kwenye game ambayo tunapaswa kupata pointiNiliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
epl 🤣 tushamalizaNyinyi wenu bado maana unaweza shangaa mmeshuka daraja
8 years vitandani kwetu. MpuuziRobin van Persie when asked about where he considers himself at HOME:
"For me, only Manchester United is home, they gave me my first PL championship and applauded even when I scored against United in Europa League with Fenerbarçe.’’
‘’As for Arsenal, the fans here are willing to give up my shirt even though I have devoted 8 years to the club. I really don't want to go there again."
Bora wewe umebaki. Hamisi amehamia unyumbuni mazima.Niliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
Partey pia ni moto wa mkaa. Huwa anachukua muda kukaa kwenye rhythm na akikaa anawaka muda mrefu. Ila pia ni mwepesi wa kupata injuries za kumkalisha nje muda mrefu. Atakupa mechi 2-3 mbovu ila baada ya haop atakupa hata 10 kali, kama akiweza kukaa fit. Kwa hilo muweke kundi moja na kina Jesus.Unajua kwamba Arsenal tunastruggle hivi kwakua wameumia wachezaji wangapi? 5.
Katika hao 5 regular starters ni 3. Saka, Martinelli na Kai. Wawili waliobaki inategemea kocha kaamkaje, Jesus na Takehiro.
Kimahesabu unahitaji wachezaji 7 tu wa ndani ya uwanja wanaojua wanataka nini ili kushinda mechi.
This means either we are too dependent on pattern or we have to add 3 world class players
Wanapanic tu. Huu mfumo mpya hauna seeding kwa timu za association moja. Kinachokutanisha timu ni nafasi walizomaliza kwenye league phase pamoja na waliotoana kwenye play-off. Timu zikifanikiwa kupita league phase, hakuna cha kukwepesha timu za association moja. Ni wa 9 atakutana na wa 17, wa 10 na wa 18, wa 11 na wa 19, nakadahalika. Ndiyo maana PSG alikutana na Brest. Baada ya hapo pia bahati nasibu iko clear.Watu wanalalamika online
Kwanini timu za EPL zipo pamoja.
Same na Germany.
Barca anacheza tena na Benfica.
Inasemekana hii set up ni ili Madrid akutane na Liver.
Wanaamini ni set up