ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,337
- 7,593
Nyie KENGE MAJI, wakati wenzenu weekend hizi tunacheza haya mashindano ya FA na EFL nyie mnakuwa wapi? Mnajificha wapi?
Yaani unakaa wiki nzima timu yako haijacheza hivi mnajisikiaje?
Au mida hii mbakuwa kwa michepuko yenu maana ndio kitu pekee mnaweza.
Yaani unakaa wiki nzima timu yako haijacheza hivi mnajisikiaje?
Au mida hii mbakuwa kwa michepuko yenu maana ndio kitu pekee mnaweza.