Sahihi kabisaItatuchukua muda sana arsenal kupata kikombe cha ligi.
Kumbe lilikuwa ni suala la muda tu, haya mmefika wapi?Nyie KENGE MAJI, wakati wenzenu weekend hizi tunacheza haya mashindano ya FA na EFL nyie mnakuwa wapi? Mnajificha wapi?
Yaani unakaa wiki nzima timu yako haijacheza hivi mnajisikiaje?
Au mida hii mbakuwa kwa michepuko yenu maana ndio kitu pekee mnaweza.
Kuna kila dalili unaweza kufa bila kushuhudia epl au uefa ikibebwa na arsenal ,nimelia sanaItatuchukua muda sana arsenal kupata kikombe cha ligi.
Nakataa hiyo😂Kuna kila dalili unaweza kufa bila kushuhudia epl au uefa ikibebwa na arsenal ,nimelia sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Asaninyau hakuna rangi wataacha kuona, yaani wanasimangwa mpaka na Joshua Kitale.Ujumbe mzuri kwenu Gunners
View attachment 3258368
Nyie timu zenu mnamatumaini ya kumkamata Arsenal?Tumeshauanza mwezi wa 3, vipi wana Arsenoo bado mnamatumaini ya kuwakamata Liverpool
Arteta angebeba hata kokolo mojawapo ambalo ni striker, lakin kuanza kumfanya merino ndo striker wetu aisee.Arsenal ni kama kichekesho, sometimes mnatia huruma ! Forward Line ya nwaneri, trossard na Merino ndio mnategemea kubeba nayo UCL na EPL ? Kichekesho cha mwaka,,,, ! Sina shida na waholanzi Leo, mtawapiga labda mshindwe tu,,,, vp huko mbele mtatoboa ? Tuje benchi sasa wako kina sterling, ,,,