MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 187
kuna mwenye link ya live streaming, naona leo hawa Justin wananichezea kidogo tu wanasitisha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie nacheki kwenye tv lakini links hizi ni nzuri sana iraqgoals.net.hostream.net,livefooty.doctor-serv.com hii haifanyi kazi uk.kuna mwenye link ya live streaming, naona leo hawa Justin wananichezea kidogo tu wanasitisha!!
ungekuja mapema unge enjoy sana hizo link justin.tv ziku hizi miyeyusho watu wengi wanalalamika.kuna mwenye link ya live streaming, naona leo hawa Justin wananichezea kidogo tu wanasitisha!!
nkora ina virus kinoma siku hizi ndio maana wala sijakuandikia.ahsante mkuu, ngoja nijaribu hii ya iraq niliwahi kutumia nikawa nimesahau! nkora.net nao miyeyusho kabisa!!
nilitegemea watatusumbua sana hawa leo.hili balaa limewaangukia Everton leo!!
huyu jamaa ndio maana pundits wa uingereza hawampendi.kwa sababu hatumii hela lakini mambo makubwa.Arsene knows???
huyu jamaa ndio maana pundits wa uingereza hawampendi.kwa sababu hatumii hela lakini mambo makubwa.
nimeona hilo kazi ya Eboue na Arshavin, kazi kwelikweli!!
naona sasa timu zitajiandaa kuikamia Arsenal mapema kabisa!!Mmeanza kwa fujo sana
kweli kabisa mkuu.uzuri wa mbele pale ben,arshavin na rvp wana huwezo wa kuhold mpira japokuwa bado combinationa yao wenyewe ijakubali lakini wameweza kuchangia kwenye magoli.not bad for a start, consistence ndio inatakiwa sasa!!
asante sana na hilo ndio swala kubwa uliotaja tutaendelea kuomba mungu atuepushe na majeruhi na huku wenger pia asajili wachezaji japo wawili ambao wataongeza depth.alete beki na defensive midfielder.Hongera Arsenal..lakini hiki kikosi kitatoboza kweli maana mechi ni nyingi lakini ukiangalia wachezaji wa hakiba siyo wa kuamini..