Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tupo mkuu, naona mambo yanazidi kupamba moto!! hawa jamaa wamo tu! hizi link siku hizi haziaminiki unaangalia baadae wanakata maximum number of viewers, lakini hivyo hivyo unahamia nyingine!!
sawa sawa mkuu.hawa jamaa naona wanatusumbua nao.tukiwafunga moja tu watafungua nafasi wenyewe pale kati.
 
tricky arena, Barcelona na Ac Milan wana historia nayo. hawa jamaa mechi yao waliyoshinda ugenini ni moja ambayo imewaleta hapo, sasa wanafanya kila njia kutoharibu historia yao ya nyumbani.
 
zali hilo goli letu hilo.kweli mkuu hapa presha imepungua najua sasa jamaa na wao wataanza kuopen up mwanzo walikuwa wamejazana sana kati pale.
 
jamaa wametubana sana kwahio goli la ajabu kama hilo powa tuu.sasa ndio wataanza kufungua uwanja.
 
ngoja nikajaribu kucheck kwenye TV mkuu hizi links zina kwikwi sana leo, inabidi nibadilishe kila baada ya muda.
 
ndugu zetu wa Stamford Bridge wameshaanza kuchezea kichapo, labda wanaweza kupata zali kama wiki iliyopita. Bent ameanza vizuri msimu huu.
 
Game imeisha tumeshinda 2-0,pole yao Celtic....ndo tushawatoa hivoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…