Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya wale watukana wakunga..naona mmepewa mimba ya mapacha kama nilivyosema..

Wahenga huwa hawakosei.


Was'alam
 
Kwanza Hongereni jamani, we outplayed you guyz ila scoring was areal Gonorrohoea to us ,ila my worrry ni kuwa mnaweza kuwa mmetuchapa sisi, sawa tunakubali kipigo, but still ur problems will remain there, sijui kama kutakuwa na maana mkatuchapa but at the end of the day mnapoteza mechi na Stoke and the likes while us will be crown THE CHAMPION!!!

ONE LOVE ONE UNITED!!!
 
Kwanza Hongereni jamani, we outplayed you guyz ila scoring was areal Gonorrohoea to us ,ila my worrry ni kuwa mnaweza kuwa mmetuchapa sisi, sawa tunakubali kipigo, but still ur problems will remain there, sijui kama kutakuwa na maana mkatuchapa but at the end of the day mnapoteza mechi na Stoke and the likes while us will be crown THE CHAMPION!!!

ONE LOVE ONE UNITED!!!

Wewe aloo vipi tena...???

Hebu wasifu jamaa na uachie hapo.Hii kutoa excuses eti sijui kuwachenga tuliwachenga lakini...(maliza mwenyewe)..haifai.

Hio 'crowning the champion' sijui mkuu..mpaka hapo kitakapoeleweka.
But yet again, kama nisemavyo, nyinyi watu wa Man U mna-uzalendo
mwingi tu.
 
Kwanza Hongereni jamani, we outplayed you guyz ila scoring was areal Gonorrohoea to us ,ila my worrry ni kuwa mnaweza kuwa mmetuchapa sisi, sawa tunakubali kipigo, but still ur problems will remain there, sijui kama kutakuwa na maana mkatuchapa but at the end of the day mnapoteza mechi na Stoke and the likes while us will be crown THE CHAMPION!!!

ONE LOVE ONE UNITED!!!

Matatizo ya Arsenal waachie wenyewe. Rudini kwenu mkajipange upya. Maswala ya "chenga twawala"yameptitwa na wakati. Kabla ya pambano mlitukana sana hivi mlidhani simba akinyeshewa mvua anakuwa nyau??
 
Nasri.............kengine.Upo?

Nipo...Samri Nasri huyu hapa pia...

Samir_Nasri_644556a.jpg

SAMIR NASRI struck twice to kick-start Arsenal's Premier League title challenge. Gunners boss Arsene Wenger admitted his team's bid would have been dead in the water if they had failed to win at the Emirates. But his side, who had lost to Stoke last week, produced their best performance of the season to see off bitter rivals United.

Arsenal 2 Man Utd 1 | The Sun |Sport|Football
 
Wewe aloo vipi tena...???

Hebu wasifu jamaa na uachie hapo.Hii kutoa excuses eti sijui kuwachenga tuliwachenga lakini...(maliza mwenyewe)..haifai.

Hio 'crowning the champion' sijui mkuu..mpaka hapo kitakapoeleweka.
But yet again, kama nisemavyo, nyinyi watu wa Man U mna-uzalendo
mwingi tu.


Umehamia sikuhizi Emirates??

Kweli mkuu, jamaa wanastaili PONGEZI za dhati kabisa
za kutoka 'rohoni' na kupitia 'mdomoni' (???????)
 

arsenalwin_644559a.jpg


_45187069_start416.jpg


One minute's silence is observed in memory of the 90th anniversary of the end of World War I before games begin

_45187077_nasir416.jpg


It is a wet lunchtime in north London, but the game starts at a blistering pace and Samir Nasri fires the Gunners ahead

_45187114_rooney220.jpg


The half ends with Arsenal in the ascendancy but United are aggrieved when referee Howard Webb waves away a penalty shout

_45187150_nasrigoal416.jpg


United fall further behind after the break when Cesc Fabregas picks out Nasri on the edge of the box and the Frenchman rifles home

_45187196_-34.jpg


The chances continue to come at both ends, but you sense it will not be United's day as they fail to seriously trouble the Gunners' goal
 
Last edited:
Matatizo ya Arsenal waachie wenyewe. Rudini kwenu mkajipange upya. Maswala ya "chenga twawala"yameptitwa na wakati. Kabla ya pambano mlitukana sana hivi mlidhani simba akinyeshewa mvua anakuwa nyau??

Pamoja na hayoo yote, ila Wanazi nyie ni maarufu kwa kulikimbia Jukwaa Lenu hususani mkichapwa,mnaonaje mkiwa Wazalendo kama akina sie?, hata tukichpawa sisi tumo tu!
 
Umehamia sikuhizi Emirates??

Kweli mkuu, jamaa wanastaili PONGEZI za dhati kabisa
za kutoka 'rohoni' na kupitia 'mdomoni' (???????)

Sio hivyo mkuu..nadhani ushausikia ule msemo 'my friend's enemy is
also my enemy'...?... nd'o hali halisi hapa.Afu kumbuka wamewafungeni
nd'o maana sisi wahuni tunashangalia humu japo si timu yetu.

A'fu pia nadhani unajua kile kipigo cha mwaka jana bado kimenisakama
kooni na msimu huu nafuatilia gemu za Man U zote na mkifungwa tu jua
nitakuwepo kushangilia tu.... "Yatako moyo kukubali kipigo".

PS...Mbona mumevaa Za Bluuz leo ama ndo kisa cha mkosi?
 
Last edited:
Pamoja na hayoo yote, ila Wanazi nyie ni maarufu kwa kulikimbia Jukwaa Lenu hususani mkichapwa,mnaonaje mkiwa Wazalendo kama akina sie?, hata tukichpawa sisi tumo tu!

Hahahaha... no comment for now.
 
Pamoja na hayoo yote, ila Wanazi nyie ni maarufu kwa kulikimbia Jukwaa Lenu hususani mkichapwa,mnaonaje mkiwa Wazalendo kama akina sie?, hata tukichpawa sisi tumo tu!

Aaaah sisi tupo kimya kimya hamna pupa.

Mi si nimekuja hapo kabla ya mechi nikawapa habari kwamba leo tunawatungua Manure? Hata sijakaa vizuri, Nasri akafanya mavituzz. Sijatulia Ab-tichaz kaja na mkwaaaaaaaara............hehee, Nasri akajibu tena.
Sisi tupo bana, makelele machache, vitu vyetu ni kupiga pasi carpet...mpira unatelezea chwiiiiiiiiiiiii...............

Halafu kwanza hii ni winter, sisi tunawaachia kina Chelski na Bwawa la utumbo watuchemshie hiyo no. 1 spot. Sisi tutakuja kuchukua springtime wakati hata mabinti wanang'aaa heheeeee.

Will the real gunners stand-up!!!! Braaaaaaaaaap!
 
Vichwa vya habari kesho:

Manchester waukalia:Lete raha
Arsenal yaua:Mwananchi
Manchester yabamizwa na Arsenal:UHuru
Arsenal yaishindilia Man U:nipashe
 
Suddenly Arsenal imeongeza idadi ya washabiki lol!!!
Ole yuko wapi na picha zake za kejeli? maana hawa washika bunduki boti lao likipigwa na dhoruba wanaingia mitini lol.
Kufungwa tumefungwa ila hii mechi haikuuma sana kama tulivyofungwa na Liverpool au kama tungefungwa na Chelsea....Under perfomance!!
 
Im MANU fan but Credit to Gunnerz especial NASRI,SAGNA& SILVESTRE
 
Suddenly Arsenal imeongeza idadi ya washabiki lol!!!
Ole yuko wapi na picha zake za kejeli? maana hawa washika bunduki boti lao likipigwa na dhoruba wanaingia mitini lol.
Kufungwa tumefungwa ila hii mechi haikuuma sana kama tulivyofungwa na Liverpool au kama tungefungwa na Chelsea....Under perfomance!!

Bora umekuaja kunisaidia, next game wakichapwa na Aston Villa umuoni mtu humu,wanabaki akina Roya na Mtaalam wanajaza thread yao..!

Ab-T; Kweli mkuu..'adui yako...........", au sio?, kumbukune duru la ili mnakuja 'thearte of dreams', ambapo hata 'u never walk alone' ikiimbwa kwa reggae tone huwa watu hawataki hivi hivi..!, just wait,'.
 
Mbona Ganaz bado hamjaja wote? Hamuamini mmeshinda au...? Or mnaona aibu sababu mlitelekeza hii thread yenu.
Nawapongeza mlitufunga...you should thank Gary as well.
 
kosa kubwa ni walituacha tucheze mpira wetu ili watufunge in our own game ili watambe vizuri mana fergy anajua jinsi wenger anavolalamika tukifungwa na timu ambazo hazikuja kucheza mpira bali rafu na usumbufu and that was a mistake, arsenal will never loose in that style, wao wangecheza kama vile sunderland,stoke au Hull wangeweza pata sare au ushindi na Wenger kitu ambacho kabakiza ni jinsi ya kuzimudu izo style za dizaini iyo basi apo ndo tutachukua ubingwa tena..
 
Back
Top Bottom