Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Msije kushangaa mtakaposikia SILVESTRE ndio captain mpya
Captain mpya ni Fabregas, ila sijui ni kwa kigezo gani, maana hasi ni nyingi kuliko chanya za uteuzi huo, labda kwakuwa ana Euro '08 cup medal na Spain, ...labda asiwe 'poached' na Barca mwakani, ...labda,...labda... ahh!