Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nina wasi wasi AW anaweza kuondolewa msimu ujao, labda anaweza kujitetea kwamba majeruhi nao walikuwa wengi kiasi cha kuharibu pattern ya uchezaji ili kupata ushindi. Kuna kila dalili kibarua chake kitaota majani.
 
...dah, kelele nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi, hamna makwenu?????????????
 
Poleni sana Kweli nilikwambia hiyo fixture siyo rahisi kwenu but wiki ijayo mnaweza kupata ushindi
 
Kumbe mnacheza na Fulham hawa jamaa waliwapa kipigo game ya kwanza so watch out
Kweli zile mechi zako 8 hadi sasa
Aston Villa kacheza game 3 na kapata point 4
Arsenal kacheza game 3 na kapata point 3
Tuendelee kusubiri naona mna game na Man City,Blackburn,WestBrom,Fulham na Newcastle
 
Nina wasi wasi AW anaweza kuondolewa msimu ujao, labda anaweza kujitetea kwamba majeruhi nao walikuwa wengi kiasi cha kuharibu pattern ya uchezaji ili kupata ushindi. Kuna kila dalili kibarua chake kitaota majani.

...nusura yake inatokana na Board ya Arsenal ina kina Fizsmann, Kroenke, Usmanov, etc etc etc... sio sawa na Chelsea ambayo Abramovich akiamua linakuwa, ...the Gaffer is still safe, labda fans waanze kum "boo-boo" huenda akaamua kung'atuka!

...mpaka sasa maneno ya ex-Captain, William Gallas yametimia, ... the team isnt capable to win trophies!!! mafanikio ya Club kama Man United ni kutokana na kuwa na 'Leaders' mfano Gary Neville, Rio Ferdinand, Ryan Giggs, Namaja Vidic etc ...ambao ndani na nje ya uwanja wanaonyesha 100% commitment.

Arsenal hilo hakuna, mtu kama W'Gallas alipoamua kusimama na kusema ukweli matokeo yake ndio kama hayo yalomopata, we will win nothing mpaka AW abadili mentality ya kuleana kwa kisingizio cha "this team is maturing!" ...maturity inakuja na Responsibilities, so far hakuna katika Arsenal anayetaka/kuonekana yupo tayari kuongoza, hata Kolo Toure aliyekuwa na sauti misimu michache iliyopita, sasa ameufyata mkia...

Kumbe mnacheza na Fulham hawa jamaa waliwapa kipigo game ya kwanza so watch out
Kweli zile mechi zako 8 hadi sasa
Aston Villa kacheza game 3 na kapata point 4
Arsenal kacheza game 3 na kapata point 3
Tuendelee kusubiri naona mna game na Man City,Blackburn,WestBrom,Fulham na Newcastle

...uwezo wa team ya Arsenal sasa ni kushiriki UEFA tu, 4th spot ya kubahatisha kama msimu ule tulivyowapiku Spurs game ya mwisho HAKUNA! Martin O'neill is better than that!
 
...uwezo wa team ya Arsenal sasa ni kushiriki UEFA tu, 4th spot ya kubahatisha kama msimu ule tulivyowapiku Spurs game ya mwisho HAKUNA! Martin O'neill is better than that!

Mimi naona msimu huu tukidrop out ya top four itakuwa ni jambo zuri kwetu, it is going to hit the board and AW very hard wakigundua kuwa wameyakosa mamilioni ya CL na hii itawalazimisha kuspend kwa kununua wachezaji kuimarisha kikosi. These people need to realise that football has changed, you dont spend- you dont win! Aston Villa is a better team than Arsenal this season and its gonna be a tough challenge to catch them.
 
Juzi wakati wa Game ya gooners wakicheza game ilipokwisha nikamsikia mdau mmoja akisema...Najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kuifahamu Arsenal!!! kwik kwik kwik!
 
Robin Van Persie kawaokoa jana!
Hongereni Arsenal, jiandaeni na mechi ya marudio!
 
Hongereni sanaaaa Arsenal maana angalau umeweka Matumaini hasa ukizingatia kwamba ni mechi ya Nyumbani
 
Hongereni, ila my concern nyie watu mnakosa magoli jamani!!, duh!, kuna mengine hata Mwaikimba wa Yanga anaweza kuwa anafunga!..mkitolewa kwa diff. ya magoli mna haki.
 
Hongereni, ila my concern nyie watu mnakosa magoli jamani!!, duh!, kuna mengine hata Mwaikimba wa Yanga anaweza kuwa anafunga!..mkitolewa kwa diff. ya magoli mna haki.

Second leg Adebayor, Eduardo na Fabregas watakuwepo na naamini we are going to get that crucial away goal, jana striker alikuwa RVP peke yake wengine wote walikuwa 'saidia fundi'. Am not worried at all, last year, against all odds, we failed to score at home but managed to score twice at the San Siro against the mighty Milan!!!
 
Kama kawaida yetu wazee wa SARE...Leo tena tumetoka sare na Fulham...Kweli huu ni mwaka wa shetani...Mwaka huu hata UEFA ndogo tunaikosa...Lol...Inatia uchungu kweli...Noma kweli
 
Kama kawaida yetu wazee wa SARE...Leo tena tumetoka sare na Fulham...Kweli huu ni mwaka wa shetani...Mwaka huu hata UEFA ndogo tunaikosa...Lol...Inatia uchungu kweli...Noma kweli

Yaani wala nakosa neno la kuongea nasononeka tu!

Mwaka wetu mbaya huu!!!

...wanja la imarati leo 'Boos-booos!', and more 'boooos!' zilishehena uwanjani... AW keshalikalia kuti kavu, siku za mwisho za George Graham (kabla ya Arsene Wenger) zilikuwa hivi hivi...

'kaburu' Glazidis naye keshampa 'live' utimatum, arsenal finishing 4th is a failure...na kwa mwendo huu siajabu tukapitwa hata na Everton, tukaishia nafasi ya sita, intertoto cup is a joke jamani, mweeeh!!!
 
Back
Top Bottom