Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

narudia tena kusema arsenal ni mbovu na msitegee kuona maajabu yoyote msimu huu mpaka yule mpumbavu wenger atakapotimuliwa na falsafa zake za kipuuzi zitakapofutiliwa mbali.

narudia kuwaambia wadogo zangu kuwa arsenal still ni timu mbovu na msitegemee kufanya lolote la ajabu msimu huu mpaka yule mzee mpumbavu atakapotimuliwa


...😀😀😀 wape hao..................!
 
Newcastle 1 ARSENAL 3
Fulham 2 MANCHESTER UNITED 0
Totenham 1 CHELSEA 0

Lady luck didn't side with them 2day as she usually does!!! Paul Scholes ndio golikipa wao mpya? Au bora fedheha kuliko aibu???
 
...koho--ohhokkhhooo---khhoo!...(kikohozi!)​


Next Match
Countdown

3 Days

Against
MANCHESTER CITY... (H)

Date
Sat, Apr 4, 2009


Kick Off
3:00 PM


...😀😀😀... na bipu tu washkaji, msi 'maindi!'
 
Tunaingia uwanjani dakika chache zijazo dhidi ya MAN CITY kuna uwezekano wa Fabregas na Adebayor kucheza leo. Haya wapenzi wa GUNNERS tufuatilie mechi hii I hope tutaibuka na ushindi wa goli zaidi ya moja.
 
Mpira umeshaanza ila sitegemei ushindi kwa Gooners leo...mambo bila bila
 
Dah Gooners wamepata goli la madhabe hapa kupitia kwa adebayo!! kazi kweli kwelii
 
Dakika ya 8 Adebayor analiona lango la MAN CITY kwa kichwa 🙂
 
Tunaingia uwanjani dakika chache zijazo dhidi ya MAN CITY kuna uwezekano wa Fabregas na Adebayor kucheza leo. Haya wapenzi wa GUNNERS tufuatilie mechi hii I hope tutaibuka na ushindi wa goli zaidi ya moja.

...sawa kaka, tupo pamoja...!

Dah Gooners wamepata goli la madhabe hapa kupitia kwa adebayo!! kazi kweli kwelii

...oyaa, goli ni goli, liwe la madhabe au mazabe nyavu zimetingishika!
 
Nimekubali mwana wacha niwe mpole naona beki ya city imepotea kabisa zis second half
 
Nimekubali mwana wacha niwe mpole naona beki ya city imepotea kabisa zis second half

Ha ha ha ha mbona una surrender mapema namna hiyo!!! Kumbuka mpira ni dakika 90 na ndiyo kwanza dakika ya 59 😉 Endelea na utabiri wako...by the way goli la pili lilifungwa na yule yule Adebayor
 
Ha ha ha ha mbona una surrender mapema namna hiyo!!! Kumbuka mpira ni dakika 90 na ndiyo kwanza dakika ya 59 😉 Endelea na utabiri wako...by the way goli la pili lilifungwa na yule yule Adebayor

Yea i ve seen it huyu mmatumbi wa Togo naona anawaokota hawa mabeki wa city...Naona game ipo upande wenu
 
Ha ha ha ha mbona una surrender mapema namna hiyo!!! Kumbuka mpira ni dakika 90 na ndiyo kwanza dakika ya 59 😉 Endelea na utabiri wako...by the way goli la pili lilifungwa na yule yule Adebayor

...mashabiki wa mashetani wekundu utawaweza bro? 😀 waache wajifurahishe leo, kesho wanakibarua si kidogo!
 
Mmefurahi eeh Arsenal fans?!.. Hongereni, naona Ade kawachangamsha leo..
 
Hongereni wana-gunners, mwasuasua lakini mwaja taratibu- mtafika tu.
 
Back
Top Bottom