Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

This is a game of the season Period. But there was an incident which Skysports (the host broadcaster and producer of the game) failed to show and I think it will bring problems to Wenger; when Liverpool scored the 4th goal, Wenger kicked the ball and hit one of the Liverpool's player in the head. But long live our hero Arshavin!!!
 
......arrrggh, we acha tu bibie,... Game ya leo wala sikujipa tamaa kwani najua defence iliyopo sasa ni uchochoro mtupu... kwanini nijiudhi bure?

Anyway, Arshavin kafanya kweli leo kumuadhirisha Arsene Wenger kutompanga mechi na Chelsea... inauma kweli lakini ndio hivyo tena...

Man U bado mmeshikilia usukani, mshindwe wenyewe!

Babu vipi mmeshindwa kudeliver, deal ilikuwa tuwafunge Aston Villa na nyie muwafunge Liverpool sema duh mnafungana migoli kama netball ebo! Hehe mweh, week ijayo naomba Tevez, Rooney, Ronaldo na Macheda wawe kwenye form.
 
Crazy game lakini neutral fans watakuwa wali enjoy sana kama vile mimi nilivyoenjoy game ya Chelsea v Liverpool last week.
All in all we deserve some credits kwa kuwa the other two big boys wameingia hapo Anfield msimu huu wakiwa na vikosi vyao kamili lakini wakachezea vichapo, sisi tumeingia bila defence(apart fro Toure and Sagna) na strikers wa 1st eleven na tumeweza kufunga X 4, ukuta ungekwepo leo tungeondoka na point zote.
Fabianski ni kipa mzuri ila naona amepata chance ya kucheza kipindi kibaya, Almunia kaumia pamoja na mabeki wote, sasa kwa kipa ambaye hachezi regularly na kama huna cover ya kutosha toka kwa watu walioko mbele yako ni lazima utaoneka nyanya tu.
 
duh huyo golikipa wa Arsenal amenikumbusha mambo ya James Kisaka wa Simba. Wenger inabidi atafute golikipa mwingine zaidi...


Hapana.

Kwa anayejua mpira huwezi kusema kipa ndiye aliyesababisha magoli ya KOP. Magoli karibu yote yamesababishwa na huyu Habib Toure na mwenzake Silvestre. Hawaruki , hawakabi vizuri. Magoli yote ya Torres ni ya mabeki wa kati. Hata la 2 la Benayoun mpira wa kwanza mrefu ulivyopigwa Torres karuka peke yake Toure anamkimbia..halafu kross inakuja Yossi anafunga mbele ya Sagna na Toure. Hawa jamaa 2 hawana jipya kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Hapana.

Kwa anyejua mpira huwezi kusema kipa ndiye aliyesababisha magoli ya KOP. Magoli karibu yote yamesababishwa na huyu Habib Toure na mwenzake Silvestre. Hawaruki , hawakabi vizuri. Magoli yote ya Torres ni ya mabeki wa kati. Hata la 2 la Benayoun mpira wa kwanza mrefu ulivyopigwa Torres karuka peke yake Toure anamkimbia..halafu kross inakuja Yossi anafunga mbele ya Sagna na Toure. Hawa jamaa 2 hawana jipya kwa kweli.


Swa mkuu, ila kipindi cha kwanza kafuta sana magoli ingawa sijui ni kukaa benchi sana au la lakini ukimtizama kwa umakini pressure juu!
 
Hapana.

Kwa anyejua mpira huwezi kusema kipa ndiye aliyesababisha magoli ya KOP. Magoli karibu yote yamesababishwa na huyu Habib Toure na mwenzake Silvestre. Hawaruki , hawakabi vizuri. Magoli yote ya Torres ni ya mabeki wa kati. Hata la 2 la Benayoun mpira wa kwanza mrefu ulivyopigwa Torres karuka peke yake Toure anamkimbia..halafu kross inakuja Yossi anafunga mbele ya Sagna na Toure. Hawa jamaa 2 hawana jipya kwa kweli.


Nakubaliana na wewe mkuu. ila kipindi cha kwanza kafuta sana magoli. Ila mechi yaze Bluez duh.

Ila kuna haja ya kuwa na kipa mwingine zaidi
 
Tunawaombea mpate droo ingawa mkishinda itakuwa vizuri kwetu but mtapiga kelele mno
Asanteni sana Gunners nilisema mngeshinda kelele zingekuwa nyingi nafikiri hii game na ile ya Spurs Vs Arsenal ndio best game za season hii
 
Sasa Man Utd wanasahau kuwa wao nao itabidi wavuke huu mto wenye mamba..bwa ha ha ha..
 
Ukweli ni kuwa Arsenal ni timu nzuri sana, kuna makosa madogo madogo ambayo huwa yanatuangusha.
 
Tatizo wenger anataka kuifanya club Shule ya kukuza vipaji, ameambiwa shule hio? Sifa ya club ulaya ni kuchukua vikombe na kushinda mechi, pia anapendelea sana wafaransa wenzake, huyu ndie anaua timu, ngoma ya watoto haikeshi. Hafai huyu kocha. Tunataka makombe na si show game zake.
 
Hawa Man u hata ukiwa unya hawasikia, ni jeuri kweli......ngoja waje wakutane na vijana na wasasambuliwe kama karanga!

Ujeuri wetu unatokana na kwamba uwa tunashinda vikombe ati, sasa mambo ya show game wakati makabati ya vikombe yako wazi sie hatujazoea.

Arsenal striker Robin Van Persie will miss the first leg of their Champions League semi-final against Manchester United with a groin strain.

"He is definitely out for Sunday (against Middlesbrough) and for Manchester United," manager Arsene Wenger told the club's website on Thursday.

Dutchman Van Persie's absence is a big blow to Arsenal who are unable to use in-form Russian Andrei Arshavin who is cup-tied.

Better news for Arsenal was that first-choice goalkeeper Manuel Almunia is back in training after an ankle injury along with defender Johan Djourou.

Left back Gael Clichy will not recover in time from his back injury to face United next Wednesday at Old Trafford.

"He could be back for the second Manchester United game. He has a scan on Monday. We'll go from there. He has a chance to be back in full training next week," Wenger said.

Central defender William Gallas will not play again this season after injuring knee ligaments.
 
...halafu nyie watu mnachonga sana, ooooooooooh MBU kakimbia,....ooooh MBU haonekani.... 😀

haya sasa, nimerudi!

....lakini si utani wazeee, bado mnyoooooonge nikifikiria weakness kwenye Defence yetu... I hope Almunia na Djourou watakuwa fit kuanzia Game ya Jumamosi.... Silvestre anahitaji mapumziko, simuamini kabisa kwenye game ya Jumatano na Man U....!

Tunaweza fungwa 4-0 halafu ikaja kuwa kasheshe mambo ya Mind the Gap Imarati!

Fabianski naye, mnh,....imetosha,.....Arsene Wenger asajili top class stopper for next season, haya mambo ya Sandakalawe anayotufanyia sie washabiki washika Bunduki..tunaweza kufa siku si zetu!

Jamani eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh, msinione kimya, bado na matumaini kidoooogo CL jumatano na Man U.... nachunga domo kwanza!
 
"Robin van Persie out of Arsenal's Champions League game with Manchester United
Arsenal's Dutch striker Robin van Persie has been ruled out of the club's Champions League semi-final first leg against Manchester United."​

~IKUMBUKWE, HUYU MHOLANZI NDIO MWIBA MKALI KWENYE NGOME YA MAN U KILA TUKIPAMBANA NAO!!!~ 🙁
 
Mbu..
Umekuwa mzalendo kweli kwa kuitetea na kuipenda Arsenal, mpaka raha yani!
Haina ubaya mkigawana vikombe na Man Utd. Mshinde jamani,sipendi kuwaona vijana wakilia lia maana burudani uwanjani mmnayo ila vikombe viko wapi? All the best dhidi ya Man Utd.
Mimi sina presha, timu yangu ni Polisi Dodoma, ha ha!..
 
Back
Top Bottom