Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhama timu ni RUKSA tena BURE. Muda wa kuhama ni huu. lol
Solution ni kumtimua huyo Mr.Bean,Barca wanacheza TOTAL FOOTBALL na wanashinda iweje nyie mnacheza total football na kufungwa kila sikuKuhama sio dawa kwani kwenye mchezo especially mpira wa miguu kuna mambo matatu
1. kushinda
2.kufungwa
3.droo
sasa unaweza ukahama na uko unakoamia ukakutana na kufungwa utaama tena au?
pamoja na kufungwa kwa asernal lakini lile toto football wanaolicheza si masikhara yaani ni burudani mno hapo ndipo ninapofarijika ata kama tufungwe bao mia kwa mechi moja
Mpwa nadhani dhamira hiyo itafikiwa iwapo mtafanya usajili wa men zaidi kuliko boys...hivi Eboue alicheza leo? baada ya goli la pili sikuangalia tena nilikuwa busy na pombe na kumsms Belinda!
Solution ni kumtimua huyo Mr.Bean,Barca wanacheza TOTAL FOOTBALL na wanashinda iweje nyie mnacheza total football na kufungwa kila siku
...msimu ujayo tutakuwa juu ya Chelsea,...itakuwa heri tukiwa juu ya Liverpool vile vile... lakini Man U bado wanaonekana watatawala tena, unless Ronaldo aende (kweli) Madrid
...msimu ujayo tutakuwa juu ya Chelsea,...itakuwa heri tukiwa juu ya Liverpool vile vile... lakini Man U bado wanaonekana watatawala tena, unless Ronaldo aende (kweli) Madrid.
...duh, washabiki wa Man U mmemshikia bango kweli Wenger atimuliwe! ha ha haa...
JARIBUNI 2012/13 😕 TEHE HEE HEEOne more season please!
Mbona mbali? Mwaka huu sisi ni kama Lipuli ya Iringa kwa MU, Chalsea. Ngoja tuangalie jumamosi hii itakuwaje. I still believe kuwa tunajuwa mpira hata kama mpira ni magoli.
JARIBUNI 2012/13 😕 TEHE HEE HEE
Kwa nini wasimpe Wenger mshiko? ni aibu sana hivi vipigo vya mfululizo. Frankly, mimi nimefurahi vipigo vinakuja muda mzuri ili at last watambue umuhimu wa kuleta experenced players na kuacha na sera zisizo na msingi
UNAOTA HUKU UPO MACHO WEWE
Solution ni kumtimua huyo Mr.Bean,Barca wanacheza TOTAL FOOTBALL na wanashinda iweje nyie mnacheza total football na kufungwa kila siku
Pili, Kabla ya kuanza msimu wa 2008 -2009, Arsenal board walimpa Arsene Wenger £70m za usajili... hakuzitumia!
Inauma, lakini bora United au Liverpool wachukue EPL title kuliko CHELSEA
Hata kama ningekuwa mimi 4-1 was a big humiliation on the home ground!
...te he heee 😀 haya bana!