mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 7,938
- 17,729
Aya tumekosa Sasa, mjitahidi kupack bus twende 120Refa kaamua kuharibu hii mechi kwa makusudi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya tumekosa Sasa, mjitahidi kupack bus twende 120Refa kaamua kuharibu hii mechi kwa makusudi kabisa.
Sio kukosa penalty tu huyo refa avuliwe tu hio jezi ya orange apewe jezi nyeupe ya Arsenyo ijulikane tu leo uwanjani mpo 12.Aya tumekosa Sasa, mjitahidi kupack bus twende 120
Hii mnalala mzee, achana na kuwa mnatimu mbovu, kingine mnagundu wazee[emoji1]Sio kukosa penalty tu huyo refa avuliwe tu jezi ya orange apewe jezi nyeupe ya Arsenyo ijulikane tu leo uwanjani mpo 12.
Hii mechi pamoja na kubebwa kwenu kwa hayo magoli ya wazi mnayokosa kuna possibility kubwa mnaenda kuipoteza.
Mjinga sana mpuuzi huyu
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.Sio kukosa penalty tu huyo refa avuliwe tu hio jezi ya orange apewe jezi nyeupe ya Arsenyo ijulikane tu leo uwanjani mpo 12.
Hii mechi pamoja na kubebwa kwenu kwa hayo magoli ya wazi mnayokosa kuna possibility kubwa mnaenda kuipoteza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu leo ndio Man of the match.Mchezaji bora so far kwa upande wa arse8
View attachment 3199934
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Akili kisoda za kocha.Kwanza Sterling anachezaje na nje kuna Trossard?
Akili za kocha labda shemejie.Kwanza Sterling anachezaje na nje kuna Trossard?
Akili za kocha labda shemejie.Kwanza Sterling anachezaje na nje kuna Trossard?
Sijui amekosaje paleHarvetz hovyooo