Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Partey kashacheza CB mara kadhaa msimu uliopita. DM kucheza nafasi ya defender siyo jambo la ajabu ila kwa Arsenal ya sasa ukimtoa Partey katikati ndiyo unakuta CMs/DMs wa timu pinzani wanaweza connect vizuri tu kuanzia kati mpaka golini.

All the while unaona katikati panakua location average zaidi. Situations zote ulizoelezea zingeweza saidia but zingefika huko kote kama kocha angefanya game management?

Ugumu niliouona ni kwamba unaona kabisa unahitaji sub lakini ukiangalia benchi huoni sub unaifanyia kwa nani. Ndiyo mwisho unasub Sterling sasa.

Hayo mambo yatakaa sawa tu brother. Chances zikizaa magoli mengi, wengi wetu wala hatutaona hizi shida .😀😀😀 fans si unatujuaaa
 
Bado hamjasema, hata nafasi ya nne mtaisikia kwenye bomba msimu huu.
Kwa kuzingatia msimu mbovu wa Everton nilikua naamini atapigwa na Spurs, kisha yeyote kati ya palace na hammers anashinda.

Kwa kua nilishajua hampindui kwa Brighton ndiyo nikasema baada ya games mbili mnashuka nafasi ya 17.

Kama Spurs angeshinda leo mngekua nafasi ya 15. Halafu next game ndiyo mnashuka hadi nafasi ya 17.

Siyo mbaya. Ni mnajichelewesha ila lazima mfike nafasi ya 17
 
Naelewa kwa nini kila mtu anasema hivyo kwa sababu inaonekana kama ni hivyo ila ukweli ni ilikuwa tumbo. Hata ile replay ya mwisho waliyorudia ilionyesha kuwa siyo handball na commentator akasema hivyo. Ila tayari VAR walikuwa wameshakataa goli. Mimi niliona siyo handball tangu mwanzo kabisa. Ila ndiyo hivyo imeshatokea.
Yaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!

Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
 
Yaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!

Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
Wote hamkuangalia vizuri na kwa utulivu kama mimi 😀😀
 
Yaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!

Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
Watkins anasema kukataa goli ilikua harsh decision.

Watkins ni ST wa Villa
 
Naelewa kwa nini kila mtu anasema hivyo kwa sababu inaonekana kama ni hivyo ila ukweli ni ilikuwa tumbo. Hata ile replay ya mwisho waliyorudia ilionyesha kuwa siyo handball na commentator akasema hivyo. Ila tayari VAR walikuwa wameshakataa goli. Mimi niliona siyo handball tangu mwanzo kabisa. Ila ndiyo hivyo imeshatokea.
Yaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!

Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
 
Kwa kuzingatia msimu mbovu wa Everton nilikua naamini atapigwa na Spurs, kisha yeyote kati ya palace na hammers anashinda.

Kwa kua nilishajua hampindui kwa Brighton ndiyo nikasema baada ya games mbili mnashuka nafasi ya 17.

Kama Spurs angeshinda leo mngekua nafasi ya 15. Halafu next game ndiyo mnashuka hadi nafasi ya 17.

Siyo mbaya. Ni mnajichelewesha ila lazima mfike nafasi ya 17
Katika misemo ya hovyo kabisa iliwahi kutokea mmoja wapo ni huu 'Trust the process'
1000498967.jpg
 
Hili goli ambalo mpira uliufuata mkono wa Kai haina hata haja ya kusumbuana. Mechi imeshaisha hata kama ikaonekana ni kweli zaidi ya kugewa barua ya kuombwa msamaha hakuna jipya.

Kilichotokea kimeendeleza ambacho tunakiona mara nyingi. Weka Partey RB observe unavyoshindwa kusecure points 3. Kipindi fulani hivi wakati liva ipo on fire inamiliki mpira mpaka 80% nikawa nasema kwamba tunateseka dhidi ya liva kwakua Arteta ana tabia kama ya Wenger.

Ilikua haijalishi anakutana na mpinzani gani Wenger alikua anataka acheze sexy football huku anascore. Arteta aliwahi kufanya defense iliyowahi semwa haifundishiki kua ya pili kutoruhusu magoli mengi. He did it with back 3.

Kama hatuna RB na inatusumbua hiyo ishu kwanini isichezwe back 3. Nimeona anasema kikosi ni kidogo na wanacheza kila baada ya siku 2. Ok sawa, nani ambaye hachezi kila baada ya siku 2?.

Ratiba hua inatoka ya mwaka mzima. Hakujua hili swala?
Kwenye benchi alikuwepo Tierney, Kiwior na Zinchenko.
 
Hivi Arsenal huwa mnajichukulia kama timu kubwa au timu mashuhuri pale Uingereza?

Maana haijulikani mnachogembea ni kitu gani zaidi ya miaka 20 na zaidi!
 
Back
Top Bottom