Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🗣️ i'm very very angry #title hopes gone @castr
IMG_20250222_215728_988.jpg
 
Kikosi hakija balance pia kikosi chetu kipo kama pyramid Kadri unavyopanda juu ndio upana wake unavyopungua,kina mabeki wengi,viungo wengi halafu striker wa maana hamna.
 
Kuna kipindi humu ndani tuliwahi kushangaa kwanini Arteta hamuweki White DM.

Usininukuu vibaya. Mabeki washakua DM, DM washakua mabeki ila Arteta hakufanya hivyo.

Trent aliwahi kuwekwa DM aliperform hovyo. Naona na leo kenge wamemuweka James DM kichekesho kilichotokea ndiyo unajua kwanini Arteta anamuacha White RB
 
Back
Top Bottom