Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Hakuna Bora, kwann hakuchora mumewe au watoto wake.Ni bolo young limemkosha mpaka akashikwa na wazimi huo.
 
Kuna mwingine alichukua fedha ya mkopo akaenda kumbariki mtumishi mahali fulani na ndoa ikaota mbawa
 

Sio kweli, msingi wa kukataza tattoo upo kwenye mambo ya walawi 19:28
 
Hawa ndio wanaojua kula na walamba asali na sio zumarid kosa lake hakujifungamanisha na walamba asali, angekuwa anaisapoti ccm asingekuwa ndani.

Ila Zumaridi wamemkomalia Sana, nadhani kuna watu aliwaudhi Sana kwa kujiita mungu.
 
Hakuna kilicho bora, ukristu gani wa kuchokae mwili wako?
 
Ila Zumaridi wamemkomalia Sana, nadhani kuna watu aliwaudhi Sana kwa kujiita mungu.
mbona wengi tu ujiita mungu,yule ni jeuri kakutana na majeuri wenzake,atembeze pesa amalize mchezo akijifanya nunda atasota Sana jela,mbongo kukuweka ndani miaka hana hasara sheria zinamruhusu sisi bado tupo kwenye primitives stage thus kuwekwa ndani miaka usipojiongeza kesi iende haraka haraka Ili upate hukumu mapema ulipe faini au wafute kesi utasota Sana mahabusu.Bongo kesi zote ni biashara za watu thus uwakuti Wahindi au matajiri jela ujiongeza mapema.
We uoni yule aliyewatoa watu Kafara moshi akizidi kupeta angekuwa hana connection au kujiongeza angekuwa ndani hadi kesho. Zumarid anafanya huduma bila kujiongeza wapi pa kushika.
 

Zumaridi aliingia kichwa kichwa kupambana na polisi. Pia kutokuwa na connection kwenye chama na serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…