Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Ndio hyu mwanamke mjinga nn au Ni story nyingine hyo
 
Biblia inasemaje kuhusu uchoraji wa tattoo?
Msaada please [emoji3064]
Hao kwani wanaifuata Hy biblia basi washakatazwa Hadi Kula nguruwe lakini wanaingia na nyama mpk kanisani Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8). Lakini Wanakula
 
Mkuu hujui huyo anapanga kiwango cha sadaka?
Pia ana makanisa nje ya nchi.
Shukrani zinazoletwa hapo ni milions...sio debe la mahindi
 
Ishatakaswa
 
GeorDavie neno kidogo sana kwenye ibada zake, muda mwingi ni kujisifia. Wanawake ndio wanasadiki sana haya mambo ya hawa manabiii wajanja wajanja.
 
Umeandika kwa hisia kali sana mkuu. Pole kwa hilo
 
Kwisha huyoo
 
Hii dini usanii mwingi hapo hao watu wote wanamuamini ni nabii maisha yakinipiga nafungua kanisa kipaji Cha uongo na kuigiza ninacho
 
Kwani Quran inakataza kula Nguruwe mkuu? Naomba kifungu toka quran inayokataza kula nguruwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…